Hali ya hewa Mwanza-Dar leo saa sita mchana

Hali ya hewa Mwanza-Dar leo saa sita mchana

mkuu, Mwanza - Dar fastjet nauli ni sh. ngapi? Msaada please!

Inategemea na siku utakayosafiri..kila abiria kanunua tiket bei tofauti na mwenzie..eg mi nilikata tiket alhamis hio hio dar-mza-dar kurud jmosi nimelipa 322,000..so ukiwah kufanya booking mapema bei itapungua and vice versa.
 
Je Sisi Ambao Tunatoka Tanzania Hadi U S A Hatuongei Tumetulia Zetu Huku! Wew Itakuwa Ni Mhaya

We ndo mhaya unaetaka tujue upo usa..mfyuu..usidharau mtu yeyote duniani hapa..we kwaakili zako unaona usa ndo umefikaaaaa..una mawazo utitiri sana wewe..ulishapitwa na wakat
 
usafiri wa ndege ni usafiri wa kawaida kama usafiri mwingine kama treni, bus, meli, bodaboda, baiskeli, bodaboda au farasi maana zote lengo lake ni moja kumsafirisha abiria kutoa point A kwenda point B basi, tofauti yake ni uharaka tu.
Bila kusahau "muda"
 
Mwanza hali ya hewa leo kama ulaya
 
Hivi wewe unafikiri wote tuna akili kama zako..we unanijua mie au...unajifanya much know hata penye utofaut acha hizo..nani ambaye hajui hizo turbulence nani..acha ujinga..unajua zilikua za kiasi gani..umeniboa sana utafikiri nakujua..sio lazima kucomment..watz noma sana

kama hutaki tu-comment si ungewasimulia wajukuu wako
 
Jaman leo hali ya hewa ilikua mbaya acheni! Nimesafiri Mwanza-Dar na fast jet ndo tumetua.

Tumeshake balaa kama nusu saa hivi jamani yani watu wote ungewaona acha..

Lakin namshukuru Mungu tumetua salama ila cha moto tumekipata leo. Sitasahau.
Ndege ilikwama kwenye tope?
 
asavali umeliona hilo. mhaya gani atapanda ndege ya elfu 30!

"si ndio hapo, mimi msomi wa Phd toka Havwaad, MA toka Oxfwod, BA toka Stanfwod, Diploma toka....nitapandaje Fwast jet? unigambire stupid? kama Precision yenye bei ya juu kuliko zote haipo, si bora ninge-drive my Range rover autobiography 2014, sio ile nyekundu, bali ile white yenye full android win 8 touch screen, niliyonunua dukani London, nilipokuwa nimekwenda kumsalimia mwanangu mutta anayesoma chekechea pale Eton college? Au wewe unaonaje?
 
"si ndio hapo, mimi msomi wa Phd toka Havwaad, MA toka Oxfwod, BA toka Stanfwod, Diploma toka....nitapandaje Fwast jet? unigambire stupid? kama Precision yenye bei ya juu kuliko zote haipo, si bora ninge-drive my Range rover autobiography 2014, sio ile nyekundu, bali ile white yenye full android win 8 touch screen, niliyonunua dukani London, nilipokuwa nimekwenda kumsalimia mwanangu mutta anayesoma chekechea pale Eton college? Au wewe unaonaje?
Tafwazali buana, in fuakti , you are right!!
 
Jaman leo hali ya hewa ilikua mbaya acheni! Nimesafiri Mwanza-Dar na fast jet ndo tumetua.

Tumeshake balaa kama nusu saa hivi jamani yani watu wote ungewaona acha..

Lakin namshukuru Mungu tumetua salama ila cha moto tumekipata leo. Sitasahau.

kawaida sana hizo ni turbulence za kawaida, hali ya hewa ya Tanzania huwa nzuri haisumbui sana kama wenzetu kama nchi za africa ya kati na kaskazin. Kuna watu.kutumia oxygen kufika wanapoenda ni jambo la kawaida sana.
pole sana na hongera kwa uvumilivu
 
Ai wewe nawe. Mbona mi nimetoka Dubai juzi na fly emirates na wala sijafungua sredi? Au ndo mara ya kwanza? Acha ushamba.
 
Back
Top Bottom