Hali ya hewa Mwanza-Dar leo saa sita mchana

Hali ya hewa Mwanza-Dar leo saa sita mchana

asante kwa kutujulisha umepanda ndege. siku nyingine jaribu sabena

Yani watz mna matatizo bado mawazo yenu ni yale yale ya kizamani..hv ndege nini mbona kawaida sana..kuen jaman achen mawazo mgando
 
Hahahaha pole mkuu ishawahi nikuta hata mimi hiyo tena route hiyo hiyo yaani hali ilikuwa mbaya utadhani ndege inapita kwenye mabonde ukiangalia nje full ukungu huoni kitu. Yaani safari ya saa moja niliona kama masaa sita.

Yani omba hii kitu isikukute..moyo unaweza kutoka unajiona haha
 
Nadhani watu wote ndani ya ndege walikuwa wanasali kumuomba Mungu wao awanusuru. Mungu ashukuriwe mmefika salama.

Jaman leo hali ya hewa ilikua mbaya. acheni!nimesafiri mza-dar na fast jet ndo tumetua jaman tumeshake balaa kama nusu saa hivi jamani yani watu wote ungewaona acha..lakin namshukuru Mungu tumetua salama ila cha moto tumekipata leo.sitasahau.
 
ulitaka kutwambia kuwa umepanda ndege ..kwikwiiiiiii
 
Katika hali ya kawaida, nilitegemea ndege isiruhusiwe kuruka kama kuna habari tatanishi kutoka idara ya hali ya hewa. Ilibadilika ghafula? Poleni ndugu zangu. Mziki wake si mwepesi.
 
Jaman leo hali ya hewa ilikua mbaya. acheni!nimesafiri mza-dar na fast jet ndo tumetua jaman tumeshake balaa kama nusu saa hivi jamani yani watu wote ungewaona acha..lakin namshukuru Mungu tumetua salama ila cha moto tumekipata leo.sitasahau.

Mi nadhani ni ushamba wenu tu wandege, ila ungekuwa mzoefu ungeona kawaida
 
Kuna watu bado wanamawazo ya enzi za ujima, wanaona kupanda ndege ni big deal, badala ya kupata ujumbe anaowaambia wenyewe mmekomaa hongera kupanda ndege utasema hiyo ndege inapandiwa mbinguni.

Ni jambo la kushangaza sana unakuta msomi mzima upo busy kupiga picha kwenye mlango wa ndege au ndani kwenye sit na kupost kwenye mitandao ya kijamii,huu ni ushamba wà hali ya juu, usafiri wa ndege ni usafiri wa kawaida kama usafiri mwingine kama treni, bus, meli, bodaboda, baiskeli, bodaboda au farasi maana zote lengo lake ni moja kumsafirisha abiria kutoa point A kwenda point B basi, tofauti yake ni uharaka tu.
 
mpuuzi ni wewe na huyu ambaye a minor incidence kama "turbulence' ameamua kuitengenezea "post".

Hivi wewe unafikiri wote tuna akili kama zako..we unanijua mie au...unajifanya much know hata penye utofaut acha hizo..nani ambaye hajui hizo turbulence nani..acha ujinga..unajua zilikua za kiasi gani..umeniboa sana utafikiri nakujua..sio lazima kucomment..watz noma sana
 
Katika hali ya kawaida, nilitegemea ndege isiruhusiwe kuruka kama kuna habari tatanishi kutoka idara ya hali ya hewa. Ilibadilika ghafula? Poleni ndugu zangu. Mziki wake si mwepesi.[/QUOT

Tatizo lilianza afta kutake off tu..may be walijua kabla..yani omba isikukute..
 
Ni jambo la kushangaza sana unakuta msomi mzima upo busy kupiga picha kwenye mlango wa ndege au ndani kwenye sit na kupost kwenye mitandao ya kijamii,huu ni ushamba wà hali ya juu, usafiri wa ndege ni usafiri wa kawaida kama usafiri mwingine kama treni, bus, meli, bodaboda, baiskeli, bodaboda au farasi maana zote lengo lake ni moja kumsafirisha abiria kutoa point A kwenda point B basi, tofauti yake ni uharaka tu.

Umenichekesha sana heheheh
 
Back
Top Bottom