Weka data zinazoelewa, hii sentensi moja haitoshi watu kujadili hoja yako, ongezea nyama. Mtandao upi? weka vielelezo vya hao wanyakyusa, vyeo vyao na wadhifa walio nao hapo n.k
Jamaa kama jina lake,atakua amelewa ulanzi.Weka habari kamili na ushahidi wa mambo.Umekunywa mdindifu au mkangafu? aina za ulanzi hizo jamani kwa ambao hamjaelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.