Serikali ya Ethiopia imetangaza hali ya dharura kwa miezi sita.
Tangazo hilo limetolewa baada ya miezi kadha ya maandamano dhidi ya serikali, yaliyofanywa na makabila mawili makubwa ya Ethiopia ya Oromo na Amhara.
Makabila hayo yanalalamika kuwa yametengwa kiuchumi na kisiasa.
Ghasia baina ya waandamanaji na polisi zilizidi tangu watu 55 walipokufa katika sherehe za kitamaduni za Oromo, Jumapili iliyopita.
Mashirika ya kutetea haki za kibinaadamu yanasema, mamia ya watu wameuawa, na maelfu kukamatwa tangu maandamano yalipoanza
Chanzo: BBC
==================
Nimesikia leo kuwa Ethiopia imetangaza hali ya hatari baada ya maandamano yaliyosabbisah vifo vingi.
Ethiopia ni nchi amabyo imepigiwa mfano katika maendeleo na juzi juzi walisifiwa sana hapa jukwaani.
Tuna cha kujifunza?
Usiku mwema.
Mada hii imetumika kwenye Kipindi cha JamiiLeo kinachorushwa kila siku jioni katika Channel ya JamiiForums kwenye mtandao wa YouTube.
Kuona kipindi hicho angalia video ifuatayo, acha maoni yako na kisha Subscribe kwenye Channel ya JamiiForums.
Tangazo hilo limetolewa baada ya miezi kadha ya maandamano dhidi ya serikali, yaliyofanywa na makabila mawili makubwa ya Ethiopia ya Oromo na Amhara.
Makabila hayo yanalalamika kuwa yametengwa kiuchumi na kisiasa.
Ghasia baina ya waandamanaji na polisi zilizidi tangu watu 55 walipokufa katika sherehe za kitamaduni za Oromo, Jumapili iliyopita.
Mashirika ya kutetea haki za kibinaadamu yanasema, mamia ya watu wameuawa, na maelfu kukamatwa tangu maandamano yalipoanza
Chanzo: BBC
==================
Nimesikia leo kuwa Ethiopia imetangaza hali ya hatari baada ya maandamano yaliyosabbisah vifo vingi.
Ethiopia ni nchi amabyo imepigiwa mfano katika maendeleo na juzi juzi walisifiwa sana hapa jukwaani.
Tuna cha kujifunza?
Usiku mwema.
Mada hii imetumika kwenye Kipindi cha JamiiLeo kinachorushwa kila siku jioni katika Channel ya JamiiForums kwenye mtandao wa YouTube.
Kuona kipindi hicho angalia video ifuatayo, acha maoni yako na kisha Subscribe kwenye Channel ya JamiiForums.