Aisee!Mod futeni huu ujinga ,tulishaukataa tokaa mwanzo ..
Watu wanakufa kwa hofu na ujinga ujinga wa walevi kama hawa
Yaani niwe natembea na kachupa cha sanitaiza najipuliza muda wote kama binti? Haiwezekani.tumia sanitizer
Yaanii......Mtu akifa hata kwa Fistula, tayari ni korona.
Death report zao zinasema ni corona na wala sibahatishi hapa...usilete siasa za kipuuz kwenye gonjwa zito kama hiliYaani unahesabu misiba? Unajua iyo misiba yote marehemu wamekufa nanini kana kwamba uliona death report zao? Unajua kuwa kuna misiba kila mtaa na kila kijiji !!!
Naombeni K-Vant ebu maana naona unatuona sisi watoto
Halafu kuna mbusi zinabisha humuMosh hali n mbaya sana kuna msba ulitokea ukajumuisha had jran zetu kdogo wa apo kenya mana n mpakan haikupta wik mbil mzee wangu akafarik tumemalza mazishi alhamis jpil bamdogo akafarik yan uko nahs haya ma mbege tunayokunywa kwenye chibuku na bard la uko ndio linalotafuna watu pole pole
Waambie wamrudie Mungu wao la sivyo wataisha na Covid 19.Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.
Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.
Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.
Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.
Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.
Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.
Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Mrudieni MunguHalafu kuna mbusi zinabisha humu
Nani alikwambia ni gonjwa zito? We kilaza Unajua magonjwa kumi yanayoongoza kwa vifo corona haipo ? Idadi ya vifo vya Corona kutoka website ya WHO izidishe ata mara 10 alafu uniambie ni asilimia ngapi ya world population.Death report zao zinasema ni corona na wala sibahatishi hapa...usilete siasa za kipuuz kwenye gonjwa zito kama hili
Matusi hayo ndiyo yanawaponza umebaki wewe ufe na covid 19Wewe ni matako kweli aisee kanituma mama yako baada ya kulala nae au?majitu mengine hovyo kbs yaani
Mmeshaanza tena mambo yenuMoshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.
Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.
Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.
Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.
Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.
Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.
Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Fala wewe mburula kama nyinyi ndo mnatakiwa korona itambae na nyinyi, hamna faida yoyote.....au unatafuta mabasha humu?Wewe ni matako kweli aisee kanituma mama yako baada ya kulala nae au?majitu mengine hovyo kbs yaani
Hakuna aliyeongelea chanjo jikinge na kinga wanaokuzunguka .Naona umetumwa kuipigia chapuo chanjo inayoletwa na madelu kutoka marekani, mbw.a wee...
Moshi wamekutana na hasira ya Mungu baada ya kushangilia kifo cha mwendazake.Chaliiiii!!!
Mtu analeta taarifa kishabiki utafikiri katumwa, leo ndo kaisikia korona kwa mara ya kwanza....Hakuna aliyeongelea chanjo jikinge na kinga wanaokuzunguka .