#COVID19 Hali ya Covid Moshi ni mbaya sana watu wanakuputika balaa

Mosh hali n mbaya sana kuna msba ulitokea ukajumuisha had jran zetu kdogo wa apo kenya mana n mpakan haikupta wik mbil mzee wangu akafarik tumemalza mazishi alhamis jpil bamdogo akafarik yan uko nahs haya ma mbege tunayokunywa kwenye chibuku na bard la uko ndio linalotafuna watu pole pole
 
tumia sanitizer
Yaani niwe natembea na kachupa cha sanitaiza najipuliza muda wote kama binti? Haiwezekani.

Ili iweje? Mwishowe watu waniite mchawi.

Msiwe mnaiga iga hovyo mambo msiyoyajua.

Mswahili na sanitaiza wapi na wapi bwana.

Tusidanganyane hapa!
 
Naona umetumwa kuipigia chapuo chanjo inayoletwa na madelu kutoka marekani, mbw.a wee...
 
Yaani unahesabu misiba? Unajua iyo misiba yote marehemu wamekufa nanini kana kwamba uliona death report zao? Unajua kuwa kuna misiba kila mtaa na kila kijiji !!!

Naombeni K-Vant ebu maana naona unatuona sisi watoto
Death report zao zinasema ni corona na wala sibahatishi hapa...usilete siasa za kipuuz kwenye gonjwa zito kama hili
 
Mosh hali n mbaya sana kuna msba ulitokea ukajumuisha had jran zetu kdogo wa apo kenya mana n mpakan haikupta wik mbil mzee wangu akafarik tumemalza mazishi alhamis jpil bamdogo akafarik yan uko nahs haya ma mbege tunayokunywa kwenye chibuku na bard la uko ndio linalotafuna watu pole pole
Halafu kuna mbusi zinabisha humu
 
Naona umetumwa kuipigia chapuo chanjo inayoletwa na madelu kutoka marekani, mbw.a wee...
Wewe ni matako kweli aisee kanituma mama yako baada ya kulala nae au?majitu mengine hovyo kbs yaani
 
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Waambie wamrudie Mungu wao la sivyo wataisha na Covid 19.
 
Death report zao zinasema ni corona na wala sibahatishi hapa...usilete siasa za kipuuz kwenye gonjwa zito kama hili
Nani alikwambia ni gonjwa zito? We kilaza Unajua magonjwa kumi yanayoongoza kwa vifo corona haipo ? Idadi ya vifo vya Corona kutoka website ya WHO izidishe ata mara 10 alafu uniambie ni asilimia ngapi ya world population.
 
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Mmeshaanza tena mambo yenu
 
Wewe ni matako kweli aisee kanituma mama yako baada ya kulala nae au?majitu mengine hovyo kbs yaani
Fala wewe mburula kama nyinyi ndo mnatakiwa korona itambae na nyinyi, hamna faida yoyote.....au unatafuta mabasha humu?
 
Back
Top Bottom