#COVID19 Hali ya Covid Moshi ni mbaya sana watu wanakuputika balaa

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,991
17,890
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.
 
Moshi hali ni mbaya sana watu wanakufa kwa covid sio mchezo.

Ni juzi tu hapo tumetoka kumzika bamkubwa alokufa kwa Covid leo jana na leo kuna misiba mingine tena.

Hapo napigiwa simu naambiwa mtaani kuna misiba minne mtaa wa pili misiba ipo sita.

Na wote hao ni covid isipokua mmoja tu.

Hali sio shwari kabisa watu wanakufa kwa kushindwa kupumua case za kufa kwa kushindwa kupumua ni nyingi sana huko Moshi hali ni tete.

Na misiba iliyoko kila kijiji na mitaa ni mingi mnoo huko moshi ni mwendo wa kuzika tu safari za kwenda Moshi kuzika zimeanza tena yaani hiki kirusi cha sasa ni balaa kinaua fasta nusu saa tu.

Hali ni mbaya sana huko Moshi.
Wewe ni mmoja wa team iliyopewa bando ili kurudisha hofu kwa watz juu ya uviko? Kama sio mmoja wao taja eneo au kijiji ambacho kina hiyo misiba 6. Tulioko moshi tuhakikishe. Sio vyema kushiriki kutia hofu wananchi
 
Wewe ni mmoja wa team iliyopewa bando ili kurudisha hofu kwa watz juu ya uviko? Kama sio mmoja wao taja eneo au kijiji ambacho kina hiyo misiba 6. Tulioko moshi tuhakikishe. Sio vyema kushiriki kutia hofu wananchi

Kuna na hili gazeti sijui lenyewe limepewa nini?


"Mhariri,

Hapo Arusha na Kilimanjaro viongozi wanapoteza sana maisha, huo utalii mnaoutangaza ili kutangaza vivutio kwa wageni wa nje ndio unaopelekea nchi inapata mawimbi ya magonjwa ya ajabu ajabu.

Mara mnatangaza utalii, mara mnakopa pesa kuendeleza miradi, mara mnataka katiba mpya, mara mnapanua wigo wa kulipa kodi, mara mnajadiliana na wawekezaji. Kifupi ni kwamba nchi haijakaa kimkakati, inatapatapa kama mfa maji, na bahati mbaya wimbi la tatu la corona likituzidia tutaumia sana.

Nashauri, tupambane kwanza na afya, tukishaimarika basi tutafanya hayo maendeleo. Kwani tukishughulikia ugonjwa ukaisha kisha tukaendelea na masuala ya miradi ya maendeleo mtakuwa mmepoteza nini? Shida washauri wengi wanatumia matumbo badala ya kichwa."


Acheni ujinga wa kishamba enyi msiokuwa na uchungu na maisha ya watu.
 
Watu watano tu wamekufa kelele kibaooo...

Nyie madalali wa chanjo sijui ni lini mtaelewa kwamba hizi propaganda haziwezi kufanya kazi?

Atii watu wanapukutika! Watu wenyewe watatu.... Ooooohhh tunapukutika!

Pukutika tu! Kwani hii dunia ni ya baba ako?

Ulitaka usife we ni nani?
 
Watu watano tu wamekufa kelele kibaooo...

Nyie madalali wa chanjo sijui ni lini mtaelewa kwamba hizi propaganda haziwezi kufanya kazi.

Atii watu wanapukutika! Watu wenyewe watatu.... Ooh tunapukutika!

Pukutika tu! Kwani hii dunia ni ya baba zenu!

Mlitaka msife ninyi ni nani?

Hata wakiwa mia kama si nduguzo na hasa kama ni mwenye ubinafsi uliopitiliza, kwako bado watakuwa ni wachache sana.

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom