Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Ninachojiuliza ni kwanini alipohojiwa tu ndio aumwe ghafla?
Kuna chembe chembe zozote za u-Kolimba?
#JustAsking .
Nimejiuliza sana hata mimi.
kuna jambo limefanyika sio bure.
Hii nchi inaonekana nje kama kongoo lakini ya ndani ni mbwa mwitu.