Hali tete vita kunukia upya Kati ya marekani na Korea ya kaskazini

We mmakonde upo porini huko mtwara, alafu unaongea as if upo kwenye jeshi la kiduku.
Ukisimaa nchale ukikaaa nchale waje waje mbona mameno si tumejaribu juzi tu siwalisema tumehofia kujribu tumejaribu sasa waje!!
 
Kim kile ni kichwa kingine asee,

punde tu atafyatua kitu kingine halafu anawacheki tena mnasemaje,kiufupi he is calling donald Trump bluff.

Ule mbomu wa nyuklia uko standby,tunnel zote ziko sealed tayari kwa jaribio la nyuklia mda wowote
 
Hhhhhhhhhhhhh Yani mtu Kafika chumbani kwako unasema ajaribu kumgusa mama anjela kweli...hii si ni njia ya kuufyata hana Kim Kama kidume amtoe mwizi ndani mwake.

Korea Kusini kunakuwaje chumbani kwa Korea Kaskazini mkuu???
 
Team north tunasemajee hata wakinyoana ndevu zao kwenye ma aircraft carrier yao zikiletwa hata na upepo na maji kwenye mpaka wetu sisi tutarusha ndonga nzito nzito hata wakipiga kelele sauti zao zikivuka tu tunao ............
Ndonga zipi Sasa, yake maplastiki fake mloonesha km siraha Wakati wa siku ya jua
 
Waje wasiende kuzi park tena huko south korea bandari tupo tayari tunasubiri wao warushe ata jiwe la mkono mamaeee tunaihamisha south korea na japan kwa sekunde !!! Kama hamja nunua agari ya Toyota nunuweni kabisa yatapanda bei manaa hayatakuwepo kabisa
Thubutu
 
Waje wasiende kuzi park tena huko south korea bandari tupo tayari tunasubiri wao warushe ata jiwe la mkono mamaeee tunaihamisha south korea na japan kwa sekunde !!! Kama hamja nunua agari ya Toyota nunuweni kabisa yatapanda bei manaa hayatakuwepo kabisa
Hahahah mwishoni hapo nimepapenda...!!!!
 
Huyu boya wenu analia lia hawezi kuingia vitani mwenyewe.. Na awamu hii wamemkimbia wote anabaki kupiga mayowe na sarakasi tu baharini..
TrumpTwitterTweets-620x436.jpg
 
Back
Top Bottom