Hali tete vita kunukia upya Kati ya marekani na Korea ya kaskazini

kesho kutwa

JF-Expert Member
Dec 7, 2016
1,632
1,829
Meli zilizobeba ndege Za kivita za marekani zawasili pwani ya korea ya kaskazini Huku Japan na Korea ya kusini zikiunga mkono marekani. Kwa upande kwa Korea ya kaskazini imesema ipo tayar kujibu

mashambulizi Iwe nyuklia kwa nyuklia ama kombora kwa kombora. Hata hivyo wasi wasi ukuzidi kutanda eneo la Pacific Chanzo ni BBC FOX NEWS ALJAZEERA.
 
sisi hatuna ugonvi na mtu,
kama anajiamini arushe risasi hata moja
ndipo hapo nvua ya mabomu itakapomshukia
kuanzia grenade hadi bomu la nyukria

huo ujinga wake apeleke kwa waarabu
huku korea atavalishwa shela
Amerika ni mshenga tu. Arushe hata jiwe aone
 
Hhhhhhhhhhhhh Yani mtu Kafika chumbani kwako unasema ajaribu kumgusa mama anjela kweli...hii si ni njia ya kuufyata hana Kim Kama kidume amtoe mwizi ndani mwake.
 
mnyoa kiduku lazima achapike, maana hawa madikteta uchwara wamezidi kujiona miungu watu
 
Meli zilizobeba ndege Za kivita za marekani zawasili pwani ya korea ya kaskazini Huku Japan na Korea ya kusini zikiunga mkono marekani. Kwa upande kwa Korea ya kaskazini imesema ipo tayar kujibu mashambulizi Iwe nyuklia kwa nyuklia ama kombora kwa kombora. Hata hivyo wasi wasi ukuzidi kutanda eneo la Pacific Chanzo ni BBC FOX NEWS ALJAZEERA Au kwa wasiojua kingereza watazame star TV sasa Hivi. Anga Za kimataifa.
Kila siku meli zimefika meli zimefika stori cha maana hakuna mnajambisha watu tu.
 
mnyoa kiduku lazima achapike, maana hawa madikteta uchwara wamezidi kujiona miungu watu
Mkuu yule siyo uchwara futa kauli wanaenda kuzi park tu hizo meli za urembo mamaeee siyo arabuni kule waguse waone!!
 
Naombea Amani,vita haijawahi kuwa poa...tena nyuklia

Wajuvi wa vita...hivi US angetumia kikosi cha SEAL TEAM akamteka Kim...hii imeshindikana..?eeh



Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
sisi hatuna ugonvi na mtu,
kama anajiamini arushe risasi hata moja
ndipo hapo nvua ya mabomu itakapomshukia
kuanzia grenade hadi bomu la nyukria

huo ujinga wake apeleke kwa waarabu
huku korea atavalishwa shela
Bureee kabisa......Wewe Carcinoma utakua poorly differentiated Grade, na Stage T4N3M1......Nyie mjazeni upepo kiduku tu mtakuja kumkataa mda si mrefu
 
Waje wasiende kuzi park tena huko south korea bandari tupo tayari tunasubiri wao warushe ata jiwe la mkono mamaeee tunaihamisha south korea na japan kwa sekunde !!! Kama hamja nunua agari ya Toyota nunuweni kabisa yatapanda bei manaa hayatakuwepo kabisa
We mmakonde upo porini huko mtwara, alafu unaongea as if upo kwenye jeshi la kiduku.
 
Back
Top Bottom