Hali tete: BOT yashusha viwango vya uwekezaji wa Dhamana & Hati fungani kuanzia Februari 21,2018

Kichekesho hamna mtu ameongelea jinsi BOT na hizi private banks walivyoharibu uchumi kwa kutojikita kusaidia private sector badala yake walikuwa busy wanafanya biashara na serikali at the expense ya walipa kodi na pesa za misaada. Haitaji akili nyingi kujua Tanzania hatujawahi kuwa na uchumi wa kueleweka.
 
Wewe sijui mhaya gani usiye na Akili?
Yaani una-coment ujinga mtupu. Kitu kikiwa hakiuziki lazima kishuke. Bei inamaana mabenk na. Watu haiamini Serikali tena Ndiyo maana hawawekezi huko

Ndugu biashara ya fedha sio sawa na biashara ya maandaz mtaan bei imeshuka ili ku discourage watu wasiende kuwekeza kule na badala yake wawekeze kwenye mabenk ya biasha na kwenye hisa za makampuni zenye return kubwa hii ni njia rahis ya kuongeza fedha kwenye mzunguko na ku boost mitaji
 
yaani BOT ilikuwa ikitoa riba ya 13- hadi 17% kwa benk za kibiashara zilizokuwa zikinunua T Bills zake, sasa hivi riba ndio imeshushwa hadi 4-6% sasa benki private zitakosa mapato kwa sababu watu mtaani hawakopesheki pia
Angalau hapa nimeelewa sasa!
 
.....nikwambie tuu kitu kidogo kuwa hapo ni ahueni kwa wakopaji na mabenki maana viwango vya dhamana na hati fungani vimepungua.... Hivyo tunategemea mabenki yata himarika zaidi au kuanzishwa zaidi....

Kwa hiyo hizo pesa zingine zitakwenda kwa watu kwa njia ya mikopo.....
Sasa hapo hali tete inatoka wapi? benki itaanguka vipi wakati viwango vya dhamana na hati fungani vimeshushwa kuwasaidia? Vipi mwenzetu dish limeyumba?
Hii ni kicheko na furaha kwa mabenki na taasisi za kifedha....
Hivi wew ni mtalaamu wa fedha mr know kila kitu
 
Ndugu biashara ya fedha sio sawa na biashara ya maandaz mtaan bei imeshuka ili ku discourage watu wasiende kuwekeza kule na badala yake wawekeze kwenye mabenk ya biasha na kwenye hisa za makampuni zenye return kubwa hii ni njia rahis ya kuongeza fedha kwenye mzunguko na ku boost mitaji
Unaonekana umezowea kuuza nyanya huko ilula
 
Ndugu biashara ya fedha sio sawa na biashara ya maandaz mtaan bei imeshuka ili ku discourage watu wasiende kuwekeza kule na badala yake wawekeze kwenye mabenk ya biasha na kwenye hisa za makampuni zenye return kubwa hii ni njia rahis ya kuongeza fedha kwenye mzunguko na ku boost mitaji
Soko Ndiyo linaamua bei
 
Niacheni mie NIINYOOSHE NCHI!... Seriously!?
:eek::eek::eek:

Kutokana na kutofanya vizuri kwa mikopo ya biashara kwa benki za biashara kwa watu kutokukopesheka, mabenki yaliamua kuwekeza benki kuu kwa rate ya 13%-17% hadi kufikia tarehe 20/02/2018.

Kuanzia tarehe 21/02/2018 uwekezaji wa tresury bill (hati fungani) na bonds (dhamana) umeshuka hadi kufika kati ya 4%-6% hili ni anguko la kiuchumi ikimaanisha BoT hawana pa kuwekeza wala benki za biashara hana wa kuwekeza.

Tutarajie anguko kubwa la mabenki, SACCOS, Microfinance, hata hivyo vikoba maana biashara ya kumpa asiye nacho inakufa na aliyenacho hamwamini mkopaji maana hajui kama zitarudishwa.
 
very true.
What true? Yaani huyu kaingia kichakani na wewe unamfata huku umefumba macho,yaani kukopesha mlalahoi imekuwa very risk,hivyo mabenki yakaamua kujaribu inna last resort ambayo ndiyo hiyo ya kununua Treasury bills na govt bonds,huko nako wameamua kupunguza kiwango cha faida from 13%-17% hadi 4%-6% yaani mfa maji anadaka mzizi wa mbuyu ili kujiokoa halafu nao unan'gooka!! Nini kitafuata?
 
Kutokana na kutofanya vizuri kwa mikopo ya biashara kwa benki za biashara kwa watu kutokukopesheka, mabenki yaliamua kuwekeza benki kuu kwa rate ya 13%-17% hadi kufikia tarehe 20/02/2018.

Kuanzia tarehe 21/02/2018 uwekezaji wa tresury bill (hati fungani) na bonds (dhamana) umeshuka hadi kufika kati ya 4%-6% hili ni anguko la kiuchumi ikimaanisha BoT hawana pa kuwekeza wala benki za biashara hana wa kuwekeza.

Tutarajie anguko kubwa la mabenki, SACCOS, Microfinance, hata hivyo vikoba maana biashara ya kumpa asiye nacho inakufa na aliyenacho hamwamini mkopaji maana hajui kama zitarudishwa.

Badala ya kutoa taarifa kama ilivyotolewa na BoT mleta uzi anatafsiri, tena kwa makosa makubwa, kilichoandikwa na wataalam wa uchumi wa BoT. Eti 'mabenki yaliamua kuwekeza benki kuu .....' Tangu lini benki ambazo kwa mujibu wa sheria husimamiwa na BoT, zijibadilishe na kujipa madaraka kisha kuchukua majukumu ya kuiongoza BoT? Mamlaka ya kupandisha au kushusha lending rate (r) kwa mabenki au treasury bill au bonds ni prerogative ya BoT kwa kuzingatia mahitaji ya kisera (monetary policy) ya wakati husika. Na hii ni ordinary economic operation policy tool inayotumika kuongeza au kupunguza (umma kuikopesha serikali) wingi wa pesa (M1) kwenye mzunguko wa uchumi.
 
Jee uamuzi huo unawahusu pia watu binafsi na kampuni binafsi zilizokuwa pia zinanunua treasury bills toka BoT au ni kwa mabenki ya biashara tu? Kama zinawahusu pia watu binafsi au kampuni binafsi basi kweli itakuwa kihama!
Jee uamuzi huo unawahusu pia watu binafsi na kampuni binafsi zilizokuwa pia zinanunua treasury bills toka BoT au ni kwa mabenki ya biashara tu? Kama zinawahusu pia watu binafsi au kampuni binafsi basi kweli itakuwa kihama!

We tulia endelea kufuatilia watu wanaomuunga mkono rais kwa utendaji wa kuinua uchumi. Ikifika 2020 itabidi watu wasiojulikana waongezeke maana watu watakuwa wanafunguka ile mbaya kwa huo ugumu wa maisha utakaokuwa umetamalaki.
 
Unaelewa uchumi kweli wewe? Mabenki yatakopa ili yamkopeshe nani na kwa riba kati uchumi huu?
Wewe ndiye huelewi uchumi..
Mtoa mada kaongea vitu na kahitimisha opposite na kinachobidi kitokee.
Kwa maelezo yake hati fungate zikishuka ina maana mabenki yataacha kuwekeza pesa zao BOT wataitoa ili wakopeshe watu kwakuwa ndipo kuna faida zaidi kuiwekeza BOT hakutakuwa na faida.
Hii ina maana mzunguko wa ela utaongezeka mtaani. Unless bank ziogope kutoa mikopo kutokana na ugumu wa biashara ila hii sign ina maana wamerenga kuongeza mzunguko wa pesa kwa mabenki kuacha kuwekeza pesa benki kuu na kuirudisha mtaani.
 
Back
Top Bottom