Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kutokana na kutofanya vizuri kwa mikopo ya biashara kwa benki za biashara kwa watu kutokukopesheka, mabenki yaliamua kuwekeza benki kuu kwa rate ya 13%-17% hadi kufikia tarehe 20/02/2018.
Kuanzia tarehe 21/02/2018 uwekezaji wa tresury bill (hati fungani) na bonds (dhamana) umeshuka hadi kufika kati ya 4%-6% hili ni anguko la kiuchumi ikimaanisha BoT hawana pa kuwekeza wala benki za biashara hana wa kuwekeza.
Tutarajie anguko kubwa la mabenki, SACCOS, Microfinance, hata hivyo vikoba maana biashara ya kumpa asiye nacho inakufa na aliyenacho hamwamini mkopaji maana hajui kama zitarudishwa.
=====
UPDATE
Kuanzia tarehe 21/02/2018 uwekezaji wa tresury bill (hati fungani) na bonds (dhamana) umeshuka hadi kufika kati ya 4%-6% hili ni anguko la kiuchumi ikimaanisha BoT hawana pa kuwekeza wala benki za biashara hana wa kuwekeza.
Tutarajie anguko kubwa la mabenki, SACCOS, Microfinance, hata hivyo vikoba maana biashara ya kumpa asiye nacho inakufa na aliyenacho hamwamini mkopaji maana hajui kama zitarudishwa.
=====
UPDATE