Hali tete: BOT yashusha viwango vya uwekezaji wa Dhamana & Hati fungani kuanzia Februari 21,2018

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Kutokana na kutofanya vizuri kwa mikopo ya biashara kwa benki za biashara kwa watu kutokukopesheka, mabenki yaliamua kuwekeza benki kuu kwa rate ya 13%-17% hadi kufikia tarehe 20/02/2018.

Kuanzia tarehe 21/02/2018 uwekezaji wa tresury bill (hati fungani) na bonds (dhamana) umeshuka hadi kufika kati ya 4%-6% hili ni anguko la kiuchumi ikimaanisha BoT hawana pa kuwekeza wala benki za biashara hana wa kuwekeza.

Tutarajie anguko kubwa la mabenki, SACCOS, Microfinance, hata hivyo vikoba maana biashara ya kumpa asiye nacho inakufa na aliyenacho hamwamini mkopaji maana hajui kama zitarudishwa.

=====

UPDATE

b7c24de051388742f04b25387fc0e6a9.jpg
 
Hizi takwimu zina kibali kutoka juu? Hatupendi kukupoteza mwana jamvi.

Uchumi ni siasa, kwa lugha nyepesi uchumi ni siasa. Hakuna nchi ilishawahi kutumikia ujamaa ikapata matokeo chanya.

The worst is yet to come.

Wapumbavu watasema hili ni tatizo la mabenki. Baada ya miezi mitatu kila mtu atakinywea kikombe hiki.
 
Kutokana na kutofanya vizuri kwa mikopo ya biashara kwa benki za biashara kwa watu kutokukopesheka mabenki yaliamua kuwekeza benki kuu kwa rate ya 13%-17% hadi kufikia tarehe 20/02/2018.

Kuanzia tarehe 21/02/2018 uwekezaji wa treasury bils na bonds umeshuka hadi kufika kati ya 4%-6% hili ni anguko la kiuchumi ikimaanisha Bot hawana pa kuwekeza wala banki za biashara hana wa kuwekeza.

Tutarajie anguko kubwa la mabenki, saccos, microfinance, hata hivyo vikoba maana biashara ya kumpa asiye nacho inakufa na aliyenacho hamwamini mkopaji maana hajui kama zitarudishwa
Naona kama vile unajichanganya mahali, labda sasa watu wanakopesheka na bank zimeamua kutowekeza BoT?!!....... Hebu fafanua kitaalamu mkuu?
 
Kutokana na kutofanya vizuri kwa mikopo ya biashara kwa benki za biashara kwa watu kutokukopesheka mabenki yaliamua kuwekeza benki kuu kwa rate ya 13%-17% hadi kufikia tarehe 20/02/2018.

Kuanzia tarehe 21/02/2018 uwekezaji wa treasury bils na bonds umeshuka hadi kufika kati ya 4%-6% hili ni anguko la kiuchumi ikimaanisha Bot hawana pa kuwekeza wala banki za biashara hana wa kuwekeza.

Tutarajie anguko kubwa la mabenki, saccos, microfinance, hata hivyo vikoba maana biashara ya kumpa asiye nacho inakufa na aliyenacho hamwamini mkopaji maana hajui kama zitarudishwa
Mkuu hebu elezea vizuri ili hata ninapoende kufanya presentation kwa rafiki,ndugu,jamaa,wafanyakazi wenzangu na hata mke na watoto wangu nisishindwe kuielezea vizuri nikikumbana na maswali kutoka kwao.
 
Kwa wale ambao ni kusifia tu hamwezi elewa nikiwauliza bills na bonds hamjui ni nini ila mnapayuka, mie niliye katika soko la kifedha nawambia kilichotokea juzi mnapayuka. Mabenki yanakoelekea ni kufa tu mda sio mrefu kuna benki zitafungasha hasa za kigeni
 
Kwa wale ambao ni kusifia tu hamwezi elewa nikiwauliza bills na bonds hamjui ni nini ila mnapayuka, mie niliye katika soko la kifedha nawambia kilichotokea juzi mnapayuka. Mabenki yanakoelekea ni kufa tu mda sio mrefu kuna benki zitafungasha hasa za kigeni
.....nikwambie tuu kitu kidogo kuwa hapo ni ahueni kwa wakopaji na mabenki maana viwango vya dhamana na hati fungani vimepungua.... Hivyo tunategemea mabenki yata himarika zaidi au kuanzishwa zaidi....

Kwa hiyo hizo pesa zingine zitakwenda kwa watu kwa njia ya mikopo.....
Sasa hapo hali tete inatoka wapi? benki itaanguka vipi wakati viwango vya dhamana na hati fungani vimeshushwa kuwasaidia? Vipi mwenzetu dish limeyumba?
Hii ni kicheko na furaha kwa mabenki na taasisi za kifedha....
 
Kutokana na kutofanya vizuri kwa mikopo ya biashara kwa benki za biashara kwa watu kutokukopesheka mabenki yaliamua kuwekeza benki kuu kwa rate ya 13%-17% hadi kufikia tarehe 20/02/2018.

Kuanzia tarehe 21/02/2018 uwekezaji wa tresury bill (hati fungani) na bonds (dhamana) umeshuka hadi kufika kati ya 4%-6% hili ni anguko la kiuchumi ikimaanisha BoT hawana pa kuwekeza wala banki za biashara hana wa kuwekeza.

Tutarajie anguko kubwa la mabenki, saccos, microfinance, hata hivyo vikoba maana biashara ya kumpa asiye nacho inakufa na aliyenacho hamwamini mkopaji maana hajui kama zitarudishwa.
Mkuu sio kwamba hii itaongeza mzunguko wa fedha mtaani na ku boost biashara? hii ni namna nyingine ya kuangalia hili

Maana riba za BOT zikiwa kubwa sana watu hawatawekeza kwenye biashara ila watanunua tu hizo hati fungani wapate riba, baasi, rate ya 17% ni kubwa sana kwa BOT ambayo haina hata risk yoyote
 
hahahahahaha wewe huna unachojua kichwa maji hahahha.....nikwambie tuu kitu kidogo kuwa hapo ni ahueni kwa wakopaji na mabenki maana viwango vya dhamana na hati fungani vimepungua.... Hivyo tunategemea mabenki yata himarika zaidi au kuanzishwa zaidi....
Kwa hiyo hizo pesa zingine zitakwenda kwa watu kwa njia ya mikopo.....
Sasa hapo hali tete inatoka wapi? benki itaanguka vipi wakati viwango vya dhamana na hati fungani vimeshushwa kuwasaidia? Vipi mwenzetu dish limeyumba?
Hii ni kicheko na furaha kwa mabenki na taasisi za kifedha....
Omwami Ruttashobolwa, napingana na wewe, moja ya sababu zinazoamua interest rate ni exposure iliyopo kwa wakopweshaji. Tanzania bado tuna primitive culture katika hili eneo.
Kama hii taarifa ni ya kweli, it signals the end of thriving banking business
 
Acha uongo mtoa mada, onesha umetoa wapi information zako. Unajua kweli kusoma taarifa za fedha?
 
Back
Top Bottom