yanayotokea arumeru ni uthibitisho ya kua ccm wameshindwa kuna harakati za kuchakachua mungu ibariki tanzania.uko sahihi kbs ushindi ni wa cdm japo kuna zengwe linataka kuchwezwa!
Kwani Chadema si wana mawakala kwenye kila kituo? Kuna haja gani wanachama kukaa tena vituoni? Au na mawakala wanaweza kuchakachua?
Usimsahau na m'babe Mkapa.
Mabom yanapigwa hapa kama radi, ni ngurumo kuuuubwa cha ajabu wananchi wanazidi kujaa hapa wakiimba pipozzzzz pawa. Usa haifaiiiiiii.
Msiniponiona tena mjue bomu limeongea na mimi