Hali ni Mbaya kwa Wakenya

Hali ni Mbaya kwa Wakenya

Dena Amsi

R I P
Joined
Aug 17, 2010
Posts
13,080
Reaction score
4,276
Katika taarifa za habari jana wametangaza kuwa Kenya iko katika hali mbaya ya uhaba wa condom na ARV dawa za kupunguza makali ya UKIMWI. Na hii inatokana na wafadhali PEPFAR waliokuwa wakitoa msaada huo kusitisha msaada.

Papo hapo kuna kijiji (jina limenitoka) nchini Kenya watu hutumia condom zaidi ya mara moja, akimaliza tendo la ndoa huiosha na kuianika tayari kwa matumizi tena na la akikosa kabisa hutumia karatasi ya nailoni. Tunakoelekea ni kubaya!!!

Hii hali imeniogopesha sana!!!!
 
Heh! hatari yaani danger
yaani wamefikia hatua ya ku-reuse condoms!!!!???
 
hii hatari dena kwanini wafadhili wamesimamisha msaada?na kwanini nchi isinunue kwaajili ya wananchi wake au hawana bajeti??
Katika taarifa za habari jana wametangaza kuwa Kenya iko katika hali mbaya ya uhaba wa condom na ARV dawa za kupunguza makali ya UKIMWI. Na hii inatokana na wafadhali PEPFAR waliokuwa wakitoa msaada huo kusitisha msaada.

Papo hapo kuna kijiji (jina limenitoka) nchini Kenya watu hutumia condom zaidi ya mara moja, akimaliza tendo la ndoa huiosha na kuianika tayari kwa matumizi tena na la akikosa kabisa hutumia karatasi ya nailoni. Tunakoelekea ni kubaya!!!

Hii hali imeniogopesha sana!!!!
 
Heh! hatari yaani danger
yaani wamefikia hatua ya ku-reuse condoms!!!!???

Yaani ni balaa mpaka nimeogopa na tena walimuonyesha na mkewe anasema eehh tunatumia kukinga mimba na maradhi mengine ni hali ya hatari kweli
 
hii hatari dena kwanini wafadhili wamesimamisha msaada?na kwanini nchi isinunue kwaajili ya wananchi wake au hawana bajeti??

Niliona Waziri wa Afya akizungumzia hilo kwamba wataweka kwenye bajeti
 
nendeni kanda ya ziwa specifically mkoa wa mwanza kwanza
muone jinsi watz wanapotumia vifuko ivi kama kondom na zinaoshwa na mwingine anatumia,
wakiona gari la ukimwi cha kwanza wanaomba kondom za bure mana ata uwezo wa kununua hakuna
mie nilibaki ninalia tu mana huduma tu za afya hakuna kbisa na waganga wa kienyeji tu
 
Katika taarifa za habari jana wametangaza kuwa Kenya iko katika hali mbaya ya uhaba wa condom na ARV dawa za kupunguza makali ya UKIMWI. Na hii inatokana na wafadhali PEPFAR waliokuwa wakitoa msaada huo kusitisha msaada.

Papo hapo kuna kijiji (jina limenitoka) nchini Kenya watu hutumia condom zaidi ya mara moja, akimaliza tendo la ndoa huiosha na kuianika tayari kwa matumizi tena na la akikosa kabisa hutumia karatasi ya nailoni. Tunakoelekea ni kubaya!!!

Hii hali imeniogopesha sana!!!!

Wakenya wasijali sana, Babu wa Loliondo atawasaidia na dozi...:juggle:
 
Back
Top Bottom