Hali mbaya ya mfumuko wa bei, watu watakufa njaa

Hali mbaya ya mfumuko wa bei, watu watakufa njaa

Hapa iringa mjin , wapungufu wa akili na walemavu wameongezeka, pia shughuli ya kuokota makopo imekua kwa Kasi...Kuna baadh ya watu wanaokota makopo as a family work...yaan wanatawanyika watoto , wanaokota makopo af wanatia kwenye kiroba kimoja
Ndio raha ya kuichagua CCM Iringa mjini
 
Unajua nn hatuwezi kubishana na asili "nature" hata siku 1 ukweli utabaki pale pale kuna nafasi za kuwapa wanawake na kuna kuwapa wanaume, kuna sehemu ukimuweka mwanamke ataharibu t na hataweza kufanya maamuzi mwnyw
 
Af pita kila sehem bendera znapepea. Mataa ya kuangaza barabaran usku yanagongwa na magar na kuanguka,fine znalipwa but zinaish, but no maintenance now mataa yamebaki ya kuhesabu tu
 
Unajua nn hatuwezi kubishana na asili "nature" hata siku 1 ukweli utabaki pale pale kuna nafasi za kuwapa wanawake na kuna kuwapa wanaume, kuna sehemu ukimuweka mwanamke ataharibu t na hataweza kufanya maamuzi mwnyw
Kenya waliona mbali kuhusu Martha Karua
 
Akili zitatukaa sawa make watz huwa tunajizima data....
Shida nikwamba watu wanatafuta njia za mkato ambazo hawajali zinakujaje kikubwa wanachoangalia wao ni njia tu ya kuwafikisha iliko keki wakamege kipande chao
 
Shida nikwamba watu wanatafuta njia za mkato ambazo hawajali zinakujaje kikubwa wanachoangalia wao ni njia tu ya kuwafikisha iliko keki wakamege kipande chao
Mama amemwaga mihela....mabil kwa mabil ,yaan Ni mihela inemwagika....alisema mlevi mmoja ambae pombe tumemdhibiti
 
[emoji1787][emoji1787]
 
Kuna shida iko mahali serekali pi la inaonekana haina hela miradi yote walitangaza hasa ya maji ikekwama hakuna hela , kuna wakandarasi wapo site wengine wameomba advance ni zaidi ya miezi minne hakapata hela.
 
Hii nchi hali ni mbaya kila kitu kimepanda bei kwenye masoko madukani hakuna kinachonunulika mpaka unga wa ugali jamani, kuna watu wanashinda njaa kwa hali hii wanapata mlo mmoja na kibaya zaidi hakuna anaetuzingatia watu wanapepea airport kila siku ni HUZUNI.

Hivi ni nini kinaendelea jamani [emoji848]
mama kawa tobo la wanyang'anyi, wezi wanajipigia tu saivi, inasikitisha mno..
 
Back
Top Bottom