Majs
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 232
- 520
Hii nchi hali ni mbaya kila kitu kimepanda bei kwenye masoko madukani hakuna kinachonunulika mpaka unga wa ugali jamani, kuna watu wanashinda njaa kwa hali hii wanapata mlo mmoja na kibaya zaidi hakuna anaetuzingatia watu wanapepea airport kila siku ni HUZUNI.
Hivi ni nini kinaendelea jamani [emoji848]
Hivi ni nini kinaendelea jamani [emoji848]