Na hao watoto hawana care matokeo yake wanaanza kugeuzwa wakiume na watoto wenye tabia chafu mi watoto wako day na Nina wafatilia sasa unawapeleka boarding uliwazaa nini hii kuiga eti kisa academic performance mwanao aje aharibikiwe then uanze kulaumuhivi mtoto wa primary boarding anaenda fanya nini?
bond na wazazi wake anaijenga saa ngapi?
hamjifunzi IST wazungu wanasomesha day watoto wao.
Hali ni mbaya sana pale,maamuzi stahiki yanahitajikaMgagaa na Upwa pita huku swahiba uone mengine mapya ya Atlas.
Kweli kabisa Swahiba.Hali ni mbaya sana pale,maamuzi stahiki yanahitajika
Picha ya nini tena?Ya shule ama?Picha ikiwekwa ni tag
Ni mfumo wa maisha, tunafanya hayovtupate pesa ya kuwalea na kuwasomesha.mabweni shule ya msingi! Mzazi unaondoka mtoto amelala, unarudi mtoto amesharudi kutoka shule na amelala. inabaki kuonana 'weekends', nayo huonani na mwanao kisa yupo 'boarding'. malezi ulimwachia house girl na sasa matron/patron! Kizazi kijacho kitachapa bakora wazazi wao maana anakuonaona tu na malezi anapewa na watu wasiohusika saana kimalezi! Ukimletea atakurudi maana hamfahamiani vyema kimzazi na mtoto!
Hapa naona wanaharibu sana wazazi wafanyao hivyo.hivi mtoto wa primary boarding anaenda fanya nini?
bond na wazazi wake anaijenga saa ngapi?
hamjifunzi IST wazungu wanasomesha day watoto wao.
Watu kama nyie ndio mnarudisha nyuma maendeleo.uri ni kuuutafuta uongozi na kueleza hizi kero na siyo kuwachafua aiseee