Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,920
- 2,841
Ila ni bomu lisubirilo kuripuka!Ni mfumo wa maisha, tunafanya hayovtupate pesa ya kuwalea na kuwasomesha.
Ila ni bomu lisubirilo kuripuka!Ni mfumo wa maisha, tunafanya hayovtupate pesa ya kuwalea na kuwasomesha.
Tatiso Rugambwa ana Madeni mengi halafu Sehemu kubwa kaajili ndugu zake wanamPIGA sanaKila kizuri hakikosi kasoro. Atlas ki academic Ni nzuri ila matatizo yake ndiyo hayo. Nadhani Hilo la ngazi na maji walitafutie ufumbuzi mapema.
Ndo ujinga wakuajiri kindungu kwanza hawajitumi na hawaogopi kufukuzwa na utendaji lazima uwe chiniTatiso Rugambwa ana Madeni mengi halafu Sehemu kubwa kaajili ndugu zake wanamPIGA sana
hivi mtoto wa primary boarding anaenda fanya nini?
bond na wazazi wake anaijenga saa ngapi?
hamjifunzi IST wazungu wanasomesha day watoto wao.
Mtoto wa chekechea unampeleka boarding school huo si ukichaa, mnaenda kutuzakishia mashoga na wasagaji tuWatoto wanalalamika kukosa bwalo la kula chakula. Japo siku zisizo na mvua hupanga foleni sehemu mbali mbali za shule na kugawiwa chakula kikiwa wazi, hali ni mbaya wakati wa mvua watoto zaidi ya elfu tatu wanahaha kupata chakula hasa mchana huku wakinyeshewa mvua. Inasikitisha zaidi kwa wale wa chekechea.
Maji nayo ni tatizo sugu mabweni ya juu ghorofani. Mtoto hulazimika kubeba ndoo ya lita kumi mara tatu au zaidi na kupandisha nayo katika ngazi hadi ghorofa ya nne. Haya ni mateso. Inakuwaje mtoto akiwa anaharisha usiku.
Yan huo Ni ukweli kabisa.Pamoja na hivyo huyo bwana hawalipagi walimu. Unakuta wanafanya miezi mingi bila kulipwa kisingizio eti wanajenga jengo.
Yan Atlas uongozi hauna Utu kabisauri ni kuuutafuta uongozi na kueleza hizi kero na siyo kuwachafua aiseee
Mkuu ada zao huwa ni shilingi Ngapi KWA mwaka hapo atlas?Imenibidi nieleze humu hali mbaya iliyopo Atlas Primary School Madale Dar es Salaam.
1. Mabweni ya wanafunzi hayaisha kujengwa japo watoto wanalala na kuishi humo. Mabweni ni ghorofa lakini hayana milango mashariki na magharibi mwisho mean mabweni hali inayohatarisha maisha ya watoto has a wanao kaa ghorofa ya nne na tatu. Kati ya ma bweni ya wavulana na wasichana Kuna ngazi hazina vizuizi hii ni hatari.
2.Watoto hulazimika kuchota maji chini tanki la nje hadi juu ghorofa ya pili. tatu a nne mara tatu au zaidi kwa siku kwa kuwa hakuna matanki ya juu. Hali hii inawatesa watoto. Maji salama inawabidi kuogea geli badala ya sabuni.
3,Mfumo wa maji taka si mzuri mafuriko hadi karibu ya jengo la utawala hatari kwa afya.
4.Chumba kimoja cha darasa wanafunzi mia hadi mia na hamsini.
Taasisi husika zifuatilie na kutatua matatizo haya tusije juta baadae.
😀 aiseeMgagaa na Upwa pita huku swahiba uone mengine mapya ya Atlas.
😀 kulikoni Swahiba?😀 aisee