Hali hii ya mpenzi mpya imenichosha

Hali hii ya mpenzi mpya imenichosha

YOU See Boy\r And Girls This Is What Happens When You Base A Relationship On Sex #andseethatsthething
 
siamini katika vilainishi vya ziada
uamini hyo imekuwa dini au uchawi? umeshauriwa tumia vilainishi vya ziada,hata condom ina vilainishi vyake maalum in case ikikauka vilanishi vyake.unaposema huamini najiuliza kwa nini.dini hairuhusu?,vina madhara kiafya?,vinapunguza utamu?,unavihusisha na ukoroga tope/tigo?.kuna jamaa mmoja yeye huwa anapaka hata mate nadhani unaweza kumuiga.
 
Atakuwa mpiga nyeto sana wala usikatae huo ndo ukweli Akisha kojowa awezi tena endelea
 
Yeye mwenyewe umemueleza kuhusu iyo nshu kiundani, na amekupa ushirikiano gan!?
 
ACHA KUMSINGIZIA MATATIZO MTOTO WA WATU..KWANINI UNAMSUKUMIZA ANAKOJOA YEYE KABLA YAKO?...

AU UNAJIFANYA HUJUI ILIVYO AU INAVYOKUWAGA RAHA YA AJABU MUKIKOJOA KWA PAMOJA?....

WEWE NDIO UNA TATIZO LA KUCHELEWA KUKOJOA NA HIYO INATOKANA NA MIKONYAGI YENU MUNAYOKUNYWA NA MIBANGI MUNAYOVUTA ILI UKIKUTANA NA MREMBO KWENYE GEMU UCHELEWE KUKOJOA...

AU UNADHANI SIE WAZEE HATUJUI JANJA ZENU VIJANA WA SIKUHIZI?

HAYA JARIBU KUFANYA YAFUATAYO
1- ACHA KUNYWA MIPOMBE MIKALI NA KUVUTA MIBANGI NA KULA MIRUNGI/MIRAA

2- ACHA KUTUMIA MIDAWA YENU YA KIMASAI NA YA KICONGO YA KUPAKAA KICHWA CHA DHAKARI AU HATA YA KIZUNGU MUNAYOSPRAY KWENYE DUDU.

3- MWAMBIE AKIKARIBIA KUPIZI AKUJULISHE NA WEWE UWAACHIE WAJERUMANI MUKUTANE KUNAKO KUKOJOA.

4- ZINGATIA YOTE HAPO JUU.

Kamanda umenimaliza mbavu aseee! Atakuwa amekuelewa.
 
Kama hakupigi mizinga, anakupa hela usimkache!!
 
Back
Top Bottom