Hali hii ya mpenzi mpya imenichosha

Hali hii ya mpenzi mpya imenichosha

Wadau,nina historia ndefu kwenye mapenzi.Pamoja na changamoto zote zilizowahi kusababisha mahusiano yangu ya huko awali kuvunjika,sijawahi kutoa ya moyoni ila kwa huyu wa sasa wacha nizungumze labda kuna mtu anaweza akawa anajua suluhisho akanisaidia kabla sijamkacha huyu kimwana niliyemnasa awamu hii ya Magufuli.

Huyu mrembo mara ya kwanza kukutana naye kimwili nilimuandaa vizuri mpaka akaiva kufikia yeye kudai dyudyu,basi bila ajizi nikampenyezea na ikazama bila matatizo.Game ikaendelea na kiukweli mtoto anaweza shughuli hasa kutoa ushirikiano na miguno ya kimahaba.Baada ya dakika kati ya 5-6 yeye akawa amefikia climax na niliona hali ile,moyoni nilifurahi kumfunga moja bila.Si mnaelewa mechi ya kwanza ni ya lazima ukaze sana.Basi mi nikaendelea kusukuma gia wakati huu nikimbadili mkao,baada ya kama dk 2 nikahisi anaanza kuwa mkavu.Hali ile ikaendelea kwa takribani dk moja mpaka akaniambia anasikia maumivu huku akinisukuma,nikachomoka.Ikabidi tuanze tena romance ili hali ya umaji maji irejee,ilichukua kama 20 minutes kumuweka sawa na kurudi kwenye tendo.Wakati huu nikajitahidi kuweka concentration kubwa nimalize mapema ili hali ile isijirudie. Bahati nzuri dk chache baadaye nikawa nimefika lakini kwa tabu maana nilihisi anaanza tena kuwa mkavu.

Kiukweli hali hiyo imekuwa ikijirudia kila nikikutana naye,yaani yeye akishafika haimchukui dk 2 ashakuwa mkavu hivyo anahitaji kuandaliwa upya.Kinachonipa wakati mgumu ni kuchomoa na kuanza tena kumuandaa kwa dk si chini ya 15 wakati mimi mwili ushapata joto.Hali hiyo haijawahi tokea kwenye mahusiano yangu yaliyopita na inanipa tabu.Nilishazoea ukimuandaa mwenzako akawa tayari basi unapiga mpaka umalize,hata kama kuna romance hapo katikati si ile ndefu kama vile unamuandaa upya kwa tendo lingine.
kuna siku hali ile ilivyotokea nikamwambia afanye blow job lakini akakataa akasema hajawahi na wala hapendi kwani anahisi anaweza tapika.

kwa sasa hata hamu naye sina japo nampenda,mara nne zilizopita kaja home tumekaa fresh ila sijamgusa kabisa.Juzi kanitumia msg akihoji hali hiyo,kwamba anafika kwangu ila anaona sina hamu naye,mpaka anahisi nimepata mwingine.kiukweli nisipopata ufumbuzi wa hili naachana naye,napata tabu.
karibuni kwa ushauri,lugha nzuri itakuwa vema zaidi.
Kwanza nenda kamkate Govinda Kumar,hapo nitatoa ushuri.
 
unahisi ni uchawi au ni kwa sababu umekremu huwa yanatumiwa na wala tigo!???
hahaaa,daaaah!kweli ndiyo yawe maisha ya kudumu ya kutumia vilainishi?vp madhara yaker kwa matumizi ya muda mrefu?
 
duh anakuwa mkavu ndani ya dkk 5/6 basi dyudyu yako inafyonza mkuu, just joking mkuu usimaindi....... mi nadhani kaa nae umwambie hali iliyopelekea wewe kupoteza kabisa hamu nae, ila ukiweka moyoni ama kuishia hapa jf haisaidii sana maaa mwenye kubadili matokeo ni yeye shemeji yetu. mwambie pengine itasaidia sana yeye kubadili fikra na kuzirudisha ktk tendo. itakuwa ni kweli kuwa huwa anakaribisha mawazo mengineyo ndo maana anawahi kuwa mkavu. ukikaa kimya jua unamtesa mwenzio na itapelekea akose amani kama hivyo ameshaanza kuhisi una mwingine,
 
hali ya kawaida
si bora huyo hata mwanzoni unapata maji maji
wengine mikebe yetu mikavu mwanzo mwisho mkavuuuu..mpk upake mafuta
sema kuna wanaume wanaopendaga hivo
kama ww huyo sio mikato yako muache tu tafuta mikato yako.
 
duh anakuwa mkavu ndani ya dkk 5/6 basi dyudyu yako inafyonza mkuu, just joking mkuu usimaindi....... mi nadhani kaa nae umwambie hali iliyopelekea wewe kupoteza kabisa hamu nae, ila ukiweka moyoni ama kuishia hapa jf haisaidii sana maaa mwenye kubadili matokeo ni yeye shemeji yetu. mwambie pengine itasaidia sana yeye kubadili fikra na kuzirudisha ktk tendo. itakuwa ni kweli kuwa huwa anakaribisha mawazo mengineyo ndo maana anawahi kuwa mkavu. ukikaa kimya jua unamtesa mwenzio na itapelekea akose amani kama hivyo ameshaanza kuhisi una mwingine,

ASANTE
 
ndio kitu gani hicho?
Namaanisha ukakatwe govi lako,govi linahifadhi harmful bacterias,na hao bacteria ndio wanasababisha drynes ndani ya mbunye ya huyo binti,tafadhali acha kumuingizia mpaka ukatwe govi lako,la sivyo utakuja kumsababishia cervical cancer.
 
hali ya kawaida
si bora huyo hata mwanzoni unapata maji maji
wengine mikebe yetu mikavu mwanzo mwisho mkavuuuu..mpk upake mafuta
sema kuna wanaume wanaopendaga hivo
kama ww huyo sio mikato yako muache tu tafuta mikato yako.
daaaah umeua sana,eti mikebe.Haya asante
 
Namaanisha ukakatwe govi lako,govi linahifadhi harmful bacterias,na hao bacteria ndio wanasababisha drynes ndani ya mbunye ya huyo binti,tafadhali acha kumuingizia mpaka ukatwe govi lako,la sivyo utakuja kumsababishia cervical cancer.
kuna sehemu yoyote kwenye uzi wangu umeona nimeandika nina huo uchafu?
 
Back
Top Bottom