Hali hii Itanishinda

Hali hii Itanishinda

Habana aseeh... mimi mmasai wa ndani ndani saana huko ngorongoro. Hapa nipo machungani na ng'ombe wangu
Ahaa,safi sana kijana...U notationamiliki ng'ombe,basi we c mtu mdogo aisee,
 
Ningekuwa na mtaji hata hao viumbe wawili ningekuja aisee,
Haha... ng'ombe wawili mkuu pesa ndogo japo ng'ombe ni mtaji mzuri lakini ukishawachunga utajua angalau ng'ombe ukiwa nao 100 kwenda juu hapo
 
Haha... ng'ombe wawili mkuu pesa ndogo japo ng'ombe ni mtaji mzuri lakini ukishawachunga utajua angalau ng'ombe ukiwa nao 100 kwenda juu hapo
Poa,ngoja nitafute course ya uchungaji nije huku
 
Back
Top Bottom