Hali hii inantesa Nisaidieni plz

Hali hii inantesa Nisaidieni plz

Habari zenu wana JF
Mimi nimekua muhanga wa kujichua mara kwa mara, Nikiwa namtuu hii hali inapungua but nikiwa single basi kwa wiki naeza jichua ata mara 4 au ata 5. Natamani kuachana na hii hali. Nahisi inani haribu psychologicaly. Sifahamu kamakuna madhara mengine ninayoyapata kutokana na hii hali.

Naombeni mnijuze ama unamadhara mengine nayoweza kupata kutokana na hii hali. Na je nifanyaje niweze kuacha hii tabia. please advise🙄

kama ni KE we endelea tu haina madhara hiyo... chubua ki.. tu ukichoka kujichua njoo nikugegede hutapata tena hamu ya kujichua.
 
Back
Top Bottom