Hali hii inantesa Nisaidieni plz

Hali hii inantesa Nisaidieni plz

Habari zenu wana JF
Mimi nimekua muhanga wa kujichua mara kwa mara, Nikiwa namtuu hii hali inapungua but nikiwa single basi kwa wiki naeza jichua ata mara 4 au ata 5. Natamani kuachana na hii hali. Nahisi inani haribu psychologicaly. Sifahamu kamakuna madhara mengine ninayoyapata kutokana na hii hali.

Naombeni mnijuze ama unamadhara mengine nayoweza kupata kutokana na hii hali. Na je nifanyaje niweze kuacha hii tabia. please advise🙄
Una umri gani?? Dawa ya kuacha ni kuwa na mwanamke tu ambaye atakuhudumia mahitaji yako ya kingono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana JF
Mimi nimekua muhanga wa kujichua mara kwa mara, Nikiwa namtuu hii hali inapungua but nikiwa single basi kwa wiki naeza jichua ata mara 4 au ata 5. Natamani kuachana na hii hali. Nahisi inani haribu psychologicaly. Sifahamu kamakuna madhara mengine ninayoyapata kutokana na hii hali.

Naombeni mnijuze ama unamadhara mengine nayoweza kupata kutokana na hii hali. Na je nifanyaje niweze kuacha hii tabia. please advise🙄
Kwanza wewe ni ME au KE?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una umri gani?? Dawa ya kuacha ni kuwa na mwanamke tu ambaye atakuhudumia mahitaji yako ya kingono

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni mwanamke pia mkuu[emoji116]
 
*Unaogopa stress za mapenzi na magonjwa.

- Ukiacha tabia uliyoizoea muda mrefu inabidi ufanye mbadala wake, ukishaizoea tabia ya pili basi ile ya kwanza inaondoka kidogo kidogo mwisho wa siku inapotea kabisa.

Nikuambie kitu, katika dunia hii hakuna tabia ambayo huwezi kuiacha ukiwa tayari na kufuata principles.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni mwanamke pia mkuu[emoji116]
Hatari Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nije PM yako tafadhali. Nipe ruhusa kwanza.

Sent using my Nokia Torch
 
Habari zenu wana JF
Mimi nimekua muhanga wa kujichua mara kwa mara, Nikiwa namtuu hii hali inapungua but nikiwa single basi kwa wiki naeza jichua ata mara 4 au ata 5. Natamani kuachana na hii hali. Nahisi inani haribu psychologicaly. Sifahamu kamakuna madhara mengine ninayoyapata kutokana na hii hali.

Naombeni mnijuze ama unamadhara mengine nayoweza kupata kutokana na hii hali. Na je nifanyaje niweze kuacha hii tabia. please advise🙄
Dawa yake ni kupigwa miti tu
 
Back
Top Bottom