Hali halisi ya Moshi movement change

Hilo jengo la pinki limepigwa rangi mpya sio?
 
Umesahau naona, hadi tukawa twaenda KNCU break ....
hapana nakataa kwa nguvu, nilikua na desturi ya kujisomea hapo kila jumamos baada ya kutoka shule, sikuwah kwenda kncu for break zaidi nikikuta kumejaa ndani nazunguka nyuma yajengo la maktaba najisomea nikiona mda sio nachukua tu kitabu naenda home,napandisha hapo posta huyoooo had soweto
 
Haya madam, nilikua nakutania bana.Mimi pia nilikua nnashinda pale kipindi cha likizo ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…