Hali halisi: Maofisini, mahotelini, kwenye mabasi, magulioni wengi nyuso hazina furaha

Mimi nijuavyo kule Bar kuna wanapatikana wenye furaha na wenye huzuni, kuna Mtu akilewa yeye anaangua kilio tu...hapo kazi kwako kuhisi hiyo huzuni au furaha.
 
Nimefanya utafiti mdogo (by visual analysis) nilipopita maeneo mbalimbali. Hali za watu hawana furaha iliyozoeleka.
Nimejiuliza kulikoni?

Mbaya zaidi hata zile sehemu kama bar, migahawani nk ambako mtu hupata burudani, nako kumebadilika sana.
Nimekosa majibu.
Mleta post ulichosema live, tena tawile, hivi wenzio wanalia njaa we utakuwa na furaha kweli, wenzako wamebomolewa nyumba bila kulipwa, makazini kuambiwa ambiwa wenzenu wanatafuta kujitolea, wasomi wengi kazi hakuna, kama mzarendo utafurahi vipi kuona matatizo ya wenzako, nadhani kama mzawa wajua yote, ila kutaka watu wayaseme haya, kupaza sauti kuzuri ili mambo yawe mazur kwa watu wote, ndomana sehemu nyingine wanaandamana na mabango juu.
 
Mleta uzi ingawa wengi wanajifanya hawajakuekewa lkn msg yako ni 'sent'
Hali si hali...biashara zimedorora...mzunguko wa pesa hakuna
Hakuna ajira..nk
Furaha itoke wapi ?
 
Nimefanya utafiti mdogo (by visual analysis) nilipopita maeneo mbalimbali. Hali za watu hawana furaha iliyozoeleka.
Nimejiuliza kulikoni?

Mbaya zaidi hata zile sehemu kama bar, migahawani nk ambako mtu hupata burudani, nako kumebadilika sana.
Nimekosa majibu.
Labda nikuulize kipimo cha furaha ni nini ukinieleza hapo ndio nitaamini utafiti wako
 
Nimefanya utafiti mdogo (by visual analysis) nilipopita maeneo mbalimbali. Hali za watu hawana furaha iliyozoeleka.
Nimejiuliza kulikoni?

Mbaya zaidi hata zile sehemu kama bar, migahawani nk ambako mtu hupata burudani, nako kumebadilika sana.
Nimekosa majibu.
Kwa unaowaona umekosa majibu ndio utayapata humu!!!
 
Watu hawana furaha pesa hakuna bab,watu wanakula bata kimachale hela haikamatiki mzunguko wa pesa mdogo,wiki iliyopita nilikuwa mwanza nilishangaa sana ile night club inayotazamana na villa park (The Kiss) hakuna watu kabisa ndani na kilichonishangaza ni kuwa miaka 3 au 4 nyuma kiingilio kilikuwa 10000 na watu walikuwa wanajaa nyomi ya kufa mtu ila sasa hivi kiingilio 2000 na watu hakuna.hali ni tete!!!!!

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Tusidanganyane. Mzunguko wa pesa umeshuka sana. Na hata hao walio baa usidhani wanafurahia bali wanajaribu tu kupunguza stress. Kama mkuu wa nchi anavyosema nia yake ni kunyoosha nchi na sasa naona IMEANZA KUNYOOKA KISAWASAWA
 
Back
Top Bottom