Black Jesus
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 256
- 9
Nitaomba kwa wale wote wenye uwezo wa kukumbuka au kuwa na maelezo yanayohusu hali halisi ya historia ya nchi Hi ,kabla haijaungana na visiwani na kuitwa TANZANIA kifupi nitaomba nijulishwe, Utamaduni, maisha ya watu kwa wakati huo hali halisi na mienendo mengine nitapenda maoni yale yanayo ongelea nchi kabla ya kuundwa TZ kwa mana hii nataka maoni yanayo husiana na nchi iliyokuwa inatambulika kama TANGANYIKA