Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
Hichi chama kinaelekea kaburini, CCM oyeeeee!!!!!!!!
naona mnatekeleza maamuzi ya mkutano mkuu kwa nguvu sana. cdm haiwezi kamwe kufa hivyo asilani. propaganda hizo hazisaidii kitu kuwarudisha kwenye ramani. wabongo wa sasa sio wa zamani wa zidumu fikra za mwenyekiti., tehe tehe.