Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,749
- 1,311
- Thread starter
-
- #61
Mdudu gani tena yarabi?
Mdudu gani tena yarabi?
Ni hivi mpenzi Vivianna,ukifanya kosa hapa Jf,miongoni mwa adhabu ni BAN,na hii hupelekea wewe kushindwa kufanya lolote pale unapo log in,zaidi ya kupokea ujumbe kuwa umekuwa banned kwa sababu fulani,na BAN yako itaisha tarehe na muda fulani.
Ukitaka kufungua other forums,itabidi uingie kama guest.
Ni hivi mpenzi Vivianna,ukifanya kosa hapa Jf,miongoni mwa adhabu ni BAN,na hii hupelekea wewe kushindwa kufanya lolote pale unapo log in,zaidi ya kupokea ujumbe kuwa umekuwa banned kwa sababu fulani,na BAN yako itaisha tarehe na muda fulani.
Ukitaka kufungua other forums,itabidi uingie kama guest.
one eyed snake...
mnyama si mnyama, mdudu si mdudu...
ana nywele mkiani badala ya kichwani...
ana matumbo mawili pia yapo mkiani...
akiguswa tu, anafura na kujinyoosha kisha kuwa mgumuuuu...
mwisho wa siku hasira zikimtoka anatema sumu, na kusinyaaaa kama mchicha kikaangoni.
Hivi haya yote umejuaje?? au nawe yashawahi kukupata??
Mi nipo njiani naelekea Alaskas
Huyo bila shaka atakuwa ni DINOSOURS
Kwani kunywa maziwa ni lazima kufuga ng'ombe?
we unaonaje???
Kuna mtu mchana aliingia na kuleta thread anajiita Amsterdam kutuhumu chitchat kuwa wanajali mapenzi,sasa tukaanza kumjibu vibaya,na amu akiwemo nae cjui kilichotokea ila nilikujakuona thread ya kutoa taarifa kuwa jamaa kawekwa sero,basi tukaungana thread nyingine kuomba mods wamuachie amu na wamuathibu Amsterdam ambaye ndiye aliyeanzisha mtafaruku,hicho ndicho nnachokijua
kumbe ulikua jela best...??
Ukiona Kobe Kainama ujue anatunga sheria