Halafu baadaye mtuambie mapenzi ya Mungu.

Halafu baadaye mtuambie mapenzi ya Mungu.

Charles Gerald

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
1,405
Reaction score
1,845
8a6888ec1c84b11a0ec96a0b378db7bd.jpg
 
Salaaale!!!sijui ni ukosefu wa elimu ama nini maana hapo wanakitafuta kifo.
 
Nimeupenda huo ubunifu. Naamini ingekuwa ni maafande wamefanya hivyo wangesifiwa saaana Wazee wa kazi.
 
Huwezi kulaumu bila kujua sababu iliyosababisha watu hao kuchukua hatua ya ku-risk, unaweza kuta huko wanakotoka ndo kubaya sudi. Je wamependa??
 
Hapo ndipo msemo huu unatumika "Kila kitu kinawezekana chini ya jua''
 
Salaaale!!!sijui ni ukosefu wa elimu ama nini maana hapo wanakitafuta kifo.
Hahahaaa hao wamesoma law of floatation na archemedes prinsple wapo mondo vibaya ndio maana wanafanya hayo aide hawa ni noma
 
Makomandoo wetu wanaweza kuiga haya maarifa,ni maarifa adimu na yana faa yaigwe na vijana wetu.
 
Back
Top Bottom