Hakunaga.....

sakapal

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
1,804
Reaction score
1,425
Hakunaga bosi asiyekuwa na wafanyakazi wa kuwatuma

je we unafahamu hakunaga nini?
 
Sijui tunaelekea wapi na kiswahili chetu! Hakunaga!? Halafu media zetu 'zinatuaminisha' ni wimbo mzuri!
 
Hakuna kubwa isiyo na kubwa yake!
 
Waharibifu wa lugha nyie.

Sio kuharibu lugha, kisanii vitu kama hivyo vinaruhusiwa jamani, kutafuta vina, vionjo na mizani kutimia kwenye mistari ya mashairi! Hakuna ubaya! Waliosoma kiswahili kwa undani wanajua hilo!
 
Hakunaga prezdee fa.lasi kama huyu
 
hakunaga peni isiyokuwa na wino

hakunaga ndoo yenye pembe tatu

hakunaga penati isiyokuwa na golikipa

hakunaga mto wa maji chumvi......

hakunaga hakunaga
 
hakunaga wimboga mzuriga kamaga huu hapaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…