sakapal JF-Expert Member Apr 11, 2011 1,804 1,424 Oct 6, 2011 #1 Hakunaga bosi asiyekuwa na wafanyakazi wa kuwatuma je we unafahamu hakunaga nini?
T The Priest JF-Expert Member Dec 8, 2010 1,029 256 Oct 6, 2011 #3 Hakunaga mjinga kama wewe unaeharibu lugha yetu
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,196 Oct 6, 2011 #4 hakunaga ni wimbo wa kipuuzi..eti nimepatia?
SMU JF-Expert Member Feb 14, 2008 9,616 7,863 Oct 6, 2011 #5 Sijui tunaelekea wapi na kiswahili chetu! Hakunaga!? Halafu media zetu 'zinatuaminisha' ni wimbo mzuri!
Sijui tunaelekea wapi na kiswahili chetu! Hakunaga!? Halafu media zetu 'zinatuaminisha' ni wimbo mzuri!
Mizizi JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,275 391 Oct 6, 2011 #10 Husninyo said: Waharibifu wa lugha nyie. Click to expand... Sio kuharibu lugha, kisanii vitu kama hivyo vinaruhusiwa jamani, kutafuta vina, vionjo na mizani kutimia kwenye mistari ya mashairi! Hakuna ubaya! Waliosoma kiswahili kwa undani wanajua hilo!
Husninyo said: Waharibifu wa lugha nyie. Click to expand... Sio kuharibu lugha, kisanii vitu kama hivyo vinaruhusiwa jamani, kutafuta vina, vionjo na mizani kutimia kwenye mistari ya mashairi! Hakuna ubaya! Waliosoma kiswahili kwa undani wanajua hilo!
Junior. Cux JF-Expert Member Feb 3, 2011 5,319 3,768 Oct 6, 2011 #11 changes are inevitable.!!! hakunaga 4 ril
sakapal JF-Expert Member Apr 11, 2011 1,804 1,424 Oct 7, 2011 Thread starter #13 The Priest said: Hakunaga mjinga kama wewe unaeharibu lugha yetu Click to expand... hakunaga mwerevu mrekebishaji bila mjinga mharibifu
The Priest said: Hakunaga mjinga kama wewe unaeharibu lugha yetu Click to expand... hakunaga mwerevu mrekebishaji bila mjinga mharibifu
sakapal JF-Expert Member Apr 11, 2011 1,804 1,424 Oct 7, 2011 Thread starter #14 Leonard Robert said: hakunaga ni wimbo wa kipuuzi..eti nimepatia? Click to expand... hakunaga bongo flava ya kipuuzi inayovumaga
Leonard Robert said: hakunaga ni wimbo wa kipuuzi..eti nimepatia? Click to expand... hakunaga bongo flava ya kipuuzi inayovumaga
sakapal JF-Expert Member Apr 11, 2011 1,804 1,424 Oct 7, 2011 Thread starter #15 millen said: acheni ushamba hakunaga washamba kam nyinyi Click to expand... hakunaga mshamba kama mshamba anayetambua washamba wenzake
millen said: acheni ushamba hakunaga washamba kam nyinyi Click to expand... hakunaga mshamba kama mshamba anayetambua washamba wenzake
sakapal JF-Expert Member Apr 11, 2011 1,804 1,424 Oct 7, 2011 Thread starter #16 Husninyo said: Waharibifu wa lugha nyie. Click to expand... hakunaga waharibifu wa lugha pasipo warekebishaji wa lugha
Husninyo said: Waharibifu wa lugha nyie. Click to expand... hakunaga waharibifu wa lugha pasipo warekebishaji wa lugha
sakapal JF-Expert Member Apr 11, 2011 1,804 1,424 Oct 7, 2011 Thread starter #17 Pawaga said: natafuta ban hapa.. Click to expand... hakunaga hakunaga hakunaga zaidi ya wana jf na ww
Pawaga said: natafuta ban hapa.. Click to expand... hakunaga hakunaga hakunaga zaidi ya wana jf na ww
sakapal JF-Expert Member Apr 11, 2011 1,804 1,424 Oct 7, 2011 Thread starter #18 hakunaga peni isiyokuwa na wino hakunaga ndoo yenye pembe tatu hakunaga penati isiyokuwa na golikipa hakunaga mto wa maji chumvi...... hakunaga hakunaga
hakunaga peni isiyokuwa na wino hakunaga ndoo yenye pembe tatu hakunaga penati isiyokuwa na golikipa hakunaga mto wa maji chumvi...... hakunaga hakunaga
pitbull JF-Expert Member Sep 22, 2011 592 178 Oct 7, 2011 #19 hakunaga wimboga mzuriga kamaga huu hapaga
Vitendo JF-Expert Member Oct 23, 2009 582 103 Oct 7, 2011 #20 shomshallo said: Hakunaga mtumbwi usiokuwa na mwiko.... Click to expand... Ule sio mwiko ni kasia!!!!!!!!
shomshallo said: Hakunaga mtumbwi usiokuwa na mwiko.... Click to expand... Ule sio mwiko ni kasia!!!!!!!!