Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,835
Hii njemba kweli ni kituko yaani ukisikia kunguru mwoga ndio huyu, ni moja ya watu wanaofanya kazi Kwa uangalifu sana ili asimkwaze boss wake na sio wananchi. Ukiangalia hotuba zake ni uhuni mtupu
Mabehewa ya treni ya SGR alisema ni mapya Kuna utofauti ya Masafa marefu na mafupi anasema ya Masafa marefu huwa ni haya ya kukonganagongana yanakuwa hayana mwonekano mzuri Kwa sababu yanaenda mbali hebu ona sababu anazotoa kama mtoto. Rais akaja kumkosoa indirect Kwa kusema mabehewa ni ya mtumba na sio mapya
Mgogoro wa ardhi Ngorongoro alisema wamasai hawajauawa na hakuna vita inaendelea baina ya mmasai na jeshi letu, kilichokuja kuonyeshwa mpaka tukasema mbona hii njema ongoongo hii
Alisema Magufuli yupo hai kaongea nae sio lazima atembee Kariakoo ili tumuone lakini baadae tukaona inadondosha michozi pale Dodoma
Alisema mikutano ya hadhara iliyozuiwa ni Ile ya mwanasiasa wa kutoka jimbo fulani kwenda jimbo jingine ila unaruhusiwa jimboni kwako tu lakini yenyewe ikawa inazunguka mpaka kwenye majimbo ya wengine, Jana Rais karuhusu mikutano nchi nzima eti na yenyewe inapiga makofi
Hawa waliotokea kwenye akili za ualimu pamoja na yule wa Chato wanashida sana sijui kwakua elimu zao za kuungaunga yaani sio za moja Kwa moja. Wewe kama PM inabidi uwe active maana wananchi wanakusikiliza sana wewe ni public figure
Tunaomba ujiuzuru vinginevyo muda utafika utatolewa Kwa aibu, mwenzako Lowassa mpaka Leo anaonekana mwamba kwa kuheshimu kofia ya Prime Minister hakutaka kuitia aibu ikabidi ajiuzuru.
Yaani huyu bwana LINDI ni muoga hatari na kumbuka Enzi za Jiwe, Makonda alikuwa anamnanga pamoja na uwaziri mkuu wake yaani hata mkuu wa mkoa anamsimanga PM lakini utakuta hii njema ipo kimya tu inalinda ugali, acha uroho nafasi hii haikufai tena ondoka
Mabehewa ya treni ya SGR alisema ni mapya Kuna utofauti ya Masafa marefu na mafupi anasema ya Masafa marefu huwa ni haya ya kukonganagongana yanakuwa hayana mwonekano mzuri Kwa sababu yanaenda mbali hebu ona sababu anazotoa kama mtoto. Rais akaja kumkosoa indirect Kwa kusema mabehewa ni ya mtumba na sio mapya
Mgogoro wa ardhi Ngorongoro alisema wamasai hawajauawa na hakuna vita inaendelea baina ya mmasai na jeshi letu, kilichokuja kuonyeshwa mpaka tukasema mbona hii njema ongoongo hii
Alisema Magufuli yupo hai kaongea nae sio lazima atembee Kariakoo ili tumuone lakini baadae tukaona inadondosha michozi pale Dodoma
Alisema mikutano ya hadhara iliyozuiwa ni Ile ya mwanasiasa wa kutoka jimbo fulani kwenda jimbo jingine ila unaruhusiwa jimboni kwako tu lakini yenyewe ikawa inazunguka mpaka kwenye majimbo ya wengine, Jana Rais karuhusu mikutano nchi nzima eti na yenyewe inapiga makofi
Hawa waliotokea kwenye akili za ualimu pamoja na yule wa Chato wanashida sana sijui kwakua elimu zao za kuungaunga yaani sio za moja Kwa moja. Wewe kama PM inabidi uwe active maana wananchi wanakusikiliza sana wewe ni public figure
Tunaomba ujiuzuru vinginevyo muda utafika utatolewa Kwa aibu, mwenzako Lowassa mpaka Leo anaonekana mwamba kwa kuheshimu kofia ya Prime Minister hakutaka kuitia aibu ikabidi ajiuzuru.
Yaani huyu bwana LINDI ni muoga hatari na kumbuka Enzi za Jiwe, Makonda alikuwa anamnanga pamoja na uwaziri mkuu wake yaani hata mkuu wa mkoa anamsimanga PM lakini utakuta hii njema ipo kimya tu inalinda ugali, acha uroho nafasi hii haikufai tena ondoka