njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Nina hakika hata wenyewe wanashangaa hawana mikimikimikiki yoyote hawa jamaa wanaweza wakaamka kesho wakasema tshs 5000 unapata data ya mb 80 na wasifanywe kitu
Sanasana watu wakilalamika wataambiwa nyie hamjui kutumia simu zenu kuna APPS zinakula data, mara Tanzania ni ya sita afrika kwa kuwa na bei nafuu ya bando..Godamn it. wakipiga kelele sana kuna waziri huyo atawachamba hadi wakome kijeuri kabisa kaamua kuwapuuza
Mbaya zaidi ukiangalia kwa karibu sana hawa jamaa ni kama CARTEL wanapandisha bei kwa pamoja na kwa uwiano unaofaana ili ikitokea mtu akadhani anakimbilia mtandao mwingine akate tamaa, maana kuna kipindi ilikuwa inaonekana halotel ni nafuu watu wakakimbilia huko ila kwa sasa hakuna tofauti kabisa sijui ile FCC ina faida gani sasa
HONGERA WAZIRI NAPE NNAUYE NGUVU INAYOTUMIKA KUWATETEA HAWA WANYONYAJI NA WEZI WA DATA SIYO YA KAWAIDA, bei juu na hata ukifunga macho ulipie baada ya dakika kumi unasikia sms umetumia aslimia 75
Sanasana watu wakilalamika wataambiwa nyie hamjui kutumia simu zenu kuna APPS zinakula data, mara Tanzania ni ya sita afrika kwa kuwa na bei nafuu ya bando..Godamn it. wakipiga kelele sana kuna waziri huyo atawachamba hadi wakome kijeuri kabisa kaamua kuwapuuza
Mbaya zaidi ukiangalia kwa karibu sana hawa jamaa ni kama CARTEL wanapandisha bei kwa pamoja na kwa uwiano unaofaana ili ikitokea mtu akadhani anakimbilia mtandao mwingine akate tamaa, maana kuna kipindi ilikuwa inaonekana halotel ni nafuu watu wakakimbilia huko ila kwa sasa hakuna tofauti kabisa sijui ile FCC ina faida gani sasa
HONGERA WAZIRI NAPE NNAUYE NGUVU INAYOTUMIKA KUWATETEA HAWA WANYONYAJI NA WEZI WA DATA SIYO YA KAWAIDA, bei juu na hata ukifunga macho ulipie baada ya dakika kumi unasikia sms umetumia aslimia 75