Hakuna wa kumzidi Lunya kwa sasa

Mwanahip anatakiwa kurap ukweli na sio kurap uongo uongo ambao haupo, lunya ni rapper mwepesi sana hauwezi kumsimamisha ata na Nikki mbishi, bongo kuna rappers wanakuzwa na media houses tu lakini hakuna kitu ni kama ROSA REE tu hauwezi msimamisha na Frida Amani wala Chemical
Kwa rosa lee naunga mkono hoja. Sijawahi kuelewa wanaomsifia wanaona nini kwake. Hao madada wawili uliowataja naona ni wakali zaidi yake.
Au wanapagawa na ahaa na kutoa ulimi nje.
 
Tuukubali ukweli kwamba kila nabii na zama zake. Tuliona miaka ya elfu mbili mastaa kama Professor Jay, Ngwea, Fid Q, Kalapina, Juma Nature n.k, wakitawala Hip Hop huku Fid Q ndio akivaa taji.

Zama zikapita, zikaja zama za 2010, tukaona vipaji kama Roma, Stamina, Young D, Young Killer, Dogo Janja, Weusi, blah blah, huku Roma akivaa taji.

Wakavuma lakini nao wameanza kufifia, kinaibuka kizazi hiki cha kina Lunya, Rapcha na madogo wengine wengi, lakini itoshe kusema kuwa Lunya ndiyo kavaa taji la Hip Hop sasa, hilo halina ubishi. Aina yake ya kutiririka hakuna wa kumkalisha kwa sasa, hilo halina ubishi aisee!
Unamjua kontawa lakini?..
 
Top List kwa hii Generation ni mtazamo tu.
1.FidQ
2.Dizasta vina
3.Stamina
4.Monicetralzone
5.Con boi
6.Salmin swagg
7.Young killer
8.Young Lunya
9.Country boe
10.Motral the future

SAB.
Rapcha
Marifaa
Nacha
Kontawa
Ghafla bin Vuu.
Huyu vina ukishampa sikio lako utakubali, kwangu Dizasta ndo my favourite hip hop artist of the all time mpaka sasa hv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soft rap ndio mziki wa kibiashara na ndo inafanya vizuri kwa sasa hizo hiphop ngumu mtaishia kusikilizia getto na masela tu. Nakupa mfano east Africa ukitaja Rapper bora bas ni Kaligraph jones hakuna ubishi na je yeye anarap kwa style gani? Hakuna ubishi tym changes. Huu ni wakati wa lunya
Hiki ndo kitu ambacho wadau wengi wa hip hop hawataki kukubaliana, ukipiga ngum utaishia kusifia tu na waun ambao hata hawaji-subscribe you tube channel yako, hawatofanya upate show, nyimbo haipigwi kwenye media mwisho wa siku huna maisha

Labda mtu kama kama Dizasta Vina aliyeamua kubaki "Underground" na anaamini mkate wake ataupatia uko uko na hiyo haisumbui, anakuambia hata mainstream ikimuaitaji imfate "underground" itamkuta na mwamba anaaongea hayo karelax kinoma

Kwahy hivo ngum haiuzi ndo maana as we speak lunya ndo best rapper ila kwangu hata kwenye top 20 ya my favourites rapper humkuti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umeanza kufatilia mziki raisi magufuli
Upo sahihi ukisema hivyo
Nimemsikiliza

Sugu
Ngwair
Prof
Langa
Fiq Q
Nikki wote wawili
Roma
Stamina
Killer na lunya
Mwamba wa kasikazin
Songa na wenzak wote wa kikosi kazi
Young Dee na janja
Nash Mc
Almost Kila msanii wa hip hop

Baadaee nikaja kumskilizi DIZASTA VINA, flow yake na lyrics zake ni nzuri na za kipekee sana nimesema ye ni my favourite rapper to date sijasema na namba moja au otherwise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Top List kwa hii Generation ni mtazamo tu.
1.FidQ
2.Dizasta vina
3.Stamina
4.Monicetralzone
5.Con boi
6.Salmin swagg
7.Young killer
8.Young Lunya
9.Country boe
10.Motral the future

SAB.
Rapcha
Marifaa
Nacha
Kontawa
Ghafla bin Vuu.

Mkuu unamkosea heshima Fid Q kumchanganya hapo

Labda sijaelewa unamaanisha nini “hii generation”
Fid Q wa kitambo sana
 
Tuukubali ukweli kwamba kila nabii na zama zake. Tuliona miaka ya elfu mbili mastaa kama Professor Jay, Ngwea, Fid Q, Kalapina, Juma Nature n.k, wakitawala Hip Hop huku Fid Q ndio akivaa taji.

Zama zikapita, zikaja zama za 2010, tukaona vipaji kama Roma, Stamina, Young D, Young Killer, Dogo Janja, Weusi, blah blah, huku Roma akivaa taji.

Wakavuma lakini nao wameanza kufifia, kinaibuka kizazi hiki cha kina Lunya, Rapcha na madogo wengine wengi, lakini itoshe kusema kuwa Lunya ndiyo kavaa taji la Hip Hop sasa, hilo halina ubishi. Aina yake ya kutiririka hakuna wa kumkalisha kwa sasa, hilo halina ubishi aisee!
Sidhani kama upo serious, au umependa zile kelele zake.
 
Tuukubali ukweli kwamba kila nabii na zama zake. Tuliona miaka ya elfu mbili mastaa kama Professor Jay, Ngwea, Fid Q, Kalapina, Juma Nature n.k, wakitawala Hip Hop huku Fid Q ndio akivaa taji.

Zama zikapita, zikaja zama za 2010, tukaona vipaji kama Roma, Stamina, Young D, Young Killer, Dogo Janja, Weusi, blah blah, huku Roma akivaa taji.

Wakavuma lakini nao wameanza kufifia, kinaibuka kizazi hiki cha kina Lunya, Rapcha na madogo wengine wengi, lakini itoshe kusema kuwa Lunya ndiyo kavaa taji la Hip Hop sasa, hilo halina ubishi. Aina yake ya kutiririka hakuna wa kumkalisha kwa sasa, hilo halina ubishi aisee!
Mijadala kama hii ni mizuri kwa afya ya mziki wa hip hop ila Lunya mzuri ila si kwa level kama hiyo unayo izungumzia ww.
 
Lunya ni mkali japo sio namba 1. Akipata verse 1 anauaga vizuri hasa akishirikishwa kwenye vinyimbo vya hawa ma-SLAY BOY ngoma kama PELEKA MOTO

Na mnaomtaja nikki mbishi acheni utani basi jamaa alikuja na style ambayo ilipendwa ila saov keshachokwa na mtaa...anaimba goz-gozi mistari haina sense tena
 
Soft rap ndio mziki wa kibiashara na ndo inafanya vizuri kwa sasa hizo hiphop ngumu mtaishia kusikilizia getto na masela tu. Nakupa mfano east Africa ukitaja Rapper bora bas ni Kaligraph jones hakuna ubishi na je yeye anarap kwa style gani? Hakuna ubishi tym changes. Huu ni wakati wa lunya
Kaka soft rap ni kitu gani au genre gani ya music?
 
Back
Top Bottom