Hakuna ulevi tatizo ni uwezo wako mdogo

Mama Edina

JF-Expert Member
Dec 18, 2022
747
1,814
Watu wanashindwa kuhimili uwezo wa mambo flan flan kama pombe tatizo uwezo wa vichwa vyao.

Hakuna ulevi tatizo ni uwezo wako mdogo wa ubongo wa watu wengi.
 
Watu wanashindwa kuhimili uwezo wa mambo flan flan kama pombe tatizo uwezo wa vichwa vyao.

Hakuna ulevi tatizo ni uwezo wako mdogo wa ubongo wa watu wengi.
sure!! nakumbuka nilipokuwa chuo,,,sisi walevi sugu tulikuwa tunafanya maajabu sana kwenye mitihani,,,wasiokunywa au wale wanaolewa robo walikuwa vilaza
 
Back
Top Bottom