Hakuna tena ujirani

Hakuna tena ujirani

Karibu kwetu,tushasambaza ma hot pot,

Mnapikaje chakula siku ya sikukuu bila kugawa Kwa jamaa na majirani??
 
Karibu kwetu,tushasambaza ma hot pot,

Mnapikaje chakula siku ya sikukuu bila kugawa Kwa jamaa na majirani??

Kugawa muhimu sana
Pasaka niliwasambazia majirani zangu wote waislamu
Leo nimerudishiwa hadi imebidi nialike wengine tule kwa pamoja
Ishi vizuri na watu
 
Kadri mwandamu anavyozidi kustaarabika ndivyo anavyozidi kuwa kiumbe hatari zaidi.
Sivilaizesheni hiyo kaka.
 
Kugawa muhimu sana
Pasaka niliwasambazia majirani zangu wote waislamu
Leo nimerudishiwa hadi imebidi nialike wengine tule kwa pamoja
Ishi vizuri na watu
Kikubwa ni kuishi vizuri TU,. Mbona siku za x mass na pasaka home hatupiki labda chai asubuhi,,,maana ni mwendo wa kupokea ma hot pot na vyoda,
 
Back
Top Bottom