Karibu kwetu,tushasambaza ma hot pot,
Mnapikaje chakula siku ya sikukuu bila kugawa Kwa jamaa na majirani??
Unakulaga Mavi ?Watu wana roho mbaya chakula ni mavi tu 🙂
Maisha ni magumu sanaYule marehemu wako ameondoka na chakula. Iddi kaile kaburini kwake. Shenzi kweli, mtahangaika sana ila kila mnchojaribu kuleta tunakielewa vizuri. Watanzania wana akili kuliko nyie nyau
Kikubwa ni kuishi vizuri TU,. Mbona siku za x mass na pasaka home hatupiki labda chai asubuhi,,,maana ni mwendo wa kupokea ma hot pot na vyoda,Kugawa muhimu sana
Pasaka niliwasambazia majirani zangu wote waislamu
Leo nimerudishiwa hadi imebidi nialike wengine tule kwa pamoja
Ishi vizuri na watu