Hakuna refund baada ya mahusiano kufika mwisho

Hakuna refund baada ya mahusiano kufika mwisho

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
12,130
Reaction score
33,523
Sikiliza dogo, hakuna mahusiano ya bure kwa mwanaume. Mapenzi yanagharimu muda, nguvu na hela, na hautarudishiwa chochote pale mahusiano yatakapofika tamati.

Mapenzi yakiisha hautarudishiwa gharama zako. Hautapewa hata shukrani tu ya kuambiwa "asante". Sasa kama usipokua mbinafsi wa muda na hela zako, utaishia kuwa mwekezaji mjinga. You will be that dump fool funding her glow-up for the next man.

Usijiwekee standard ambazo hauwezi kustahimili. Mapenzi yenu yameanza umekodi gari, umeenda kulala nae hotelini au lodge ya gharama n.k. Utaweza ku-maintain hicho ulichoanzisha? Don't build a lie that will drain your money trying to keep it alive. Simping it's not kindness, not romantic, it's self destruction.

Siku utakapoulizwa "nillikulazimisha kunifanyia hayo yote?", ndipo utakapojua wanaoua sio vichaa, wanakuaga na akili timamu kabisa

Siku zote tambua mahusiano huwa yanafika mwisho. Mwisho unaweza kuwa kifo, talaka au kuachana. Kwaiyo jilinde huo mwisho mahusiano yasikuache ukiwa broke and broken. Protect your assets, money, heart and mission. Because when it's over. She wont refund a single cent.

Be a provider of value, not vibes. Invest in your plans, growth and legacy, not lust.

Don't be a simp.
 
1747998520893.jpg
 
MSUMARI WA MOTO, LAZIMA KENCHI ICHANIKE🤝

GONGA NYUNDO BABA,WATOTO WADOGO HAWAELEWI GAME INAVYOLOSTISHA MISSION ZAO.

📌NO REFORM,NO RELATIONSHIP.
Tukiwaambia madogo ukweli wanatujibu "tafuta hela". Wakishapigwa nyundo ya utosi na hao wanawaita soul mates ndio wanagundua hawana u-special wowote ila walikua wasumbufu tu.
 
Sikiliza dogo, hakuna mahusiano ya bure kwa mwanaume. Mapenzi yanagharimu muda, nguvu na hela, na hautarudishiwa chochote pale mahusiano yatakapofika tamati.

Mapenzi yakiisha hautarudishiwa gharama zako. Hautapewa hata shukrani tu ya kuambiwa "asante". Sasa kama usipokua mbinafsi wa muda na hela zako, utaishia kuwa mwekezaji mjinga. You will be that dump fool funding her glow-up for the next man.

Usijiwekee standard ambazo hauwezi kustahimili. Mapenzi yenu yameanza umekodi gari, umeenda kulala nae hotelini au lodge ya gharama n.k. Utaweza ku-maintain hicho ulichoanzisha? Don't build a lie that will drain your money trying to keep it alive. Simping it's not kindness, not romantic, it's self destruction.

Siku utakapoulizwa "nillikulazimisha kunifanyia hayo yote?", ndipo utakapojua wanaoua sio vichaa, wanakuaga na akili timamu kabisa

Siku zote tambua mahusiano huwa yanafika mwisho. Mwisho unaweza kuwa kifo, talaka au kuachana. Kwaiyo jilinde huo mwisho mahusiano yasikuache ukiwa broke and broken. Protect your assets, money, heart and mission. Because when it's over. She wont refund a single cent.

Be a provider of value, not vibes. Invest in your plans, growth and legacy, not lust.

Don't be a simp.
Nakazia mangi ila sasa hawa madogo sijui maskio yao wamewekewa gundi yani hawaelewi niko na my young bro nilipa ushauri vizuri kabisa kama kaka yake nkamuambia ukishindwa kunisikikiza basi fuata hata matendo yangu ila wapi hawa madogo wanamioyo ya njiwa hawaelewi kabisa
 
Sikiliza dogo, hakuna mahusiano ya bure kwa mwanaume. Mapenzi yanagharimu muda, nguvu na hela, na hautarudishiwa chochote pale mahusiano yatakapofika tamati.

Mapenzi yakiisha hautarudishiwa gharama zako. Hautapewa hata shukrani tu ya kuambiwa "asante". Sasa kama usipokua mbinafsi wa muda na hela zako, utaishia kuwa mwekezaji mjinga. You will be that dump fool funding her glow-up for the next man.

Usijiwekee standard ambazo hauwezi kustahimili. Mapenzi yenu yameanza umekodi gari, umeenda kulala nae hotelini au lodge ya gharama n.k. Utaweza ku-maintain hicho ulichoanzisha? Don't build a lie that will drain your money trying to keep it alive. Simping it's not kindness, not romantic, it's self destruction.

Siku utakapoulizwa "nillikulazimisha kunifanyia hayo yote?", ndipo utakapojua wanaoua sio vichaa, wanakuaga na akili timamu kabisa

Siku zote tambua mahusiano huwa yanafika mwisho. Mwisho unaweza kuwa kifo, talaka au kuachana. Kwaiyo jilinde huo mwisho mahusiano yasikuache ukiwa broke and broken. Protect your assets, money, heart and mission. Because when it's over. She wont refund a single cent.

Be a provider of value, not vibes. Invest in your plans, growth and legacy, not lust.

Don't be a simp.
Usitupeperushie ndege wetu
 
Nakazia mangi ila sasa hawa madogo sijui maskio yao wamewekewa gundi yani hawaelewi niko na my young bro nilipa ushauri vizuri kabisa kama kaka yake nkamuambia ukishindwa kunisikikiza basi fuata hata matendo yangu ila wapi hawa madogo wanamioyo ya njiwa hawaelewi kabisa
Tusiwakatie tamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom