Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,077
Hii ni picha ya zamani uliwekwa na kundi la Tuntemeke ili kukichafua chadema.....sio ya kutimia maana ni!
mnaendelea kutafuta picha za kuedit, tunavyowajua nyie kwa kupenda sifa picha zingekuwa zishakuwa uploaded kitambo sana!! hata jana za kahama mmeweka za mwaka 2011.....ukitaka kuwa muongo lazima uwe smart sanaNi kweli mkuu,
Hata hivyo Nimeongea na Makene Muda huu.Dr.Slaa yupo Jukwaani anaendelea na mkutano mkubwa.Anasema hadi CCM wameingia kusikiliza.Picha zitatumwa soon
hizo picha inachukua muda gani kuziweka humu?Ni kweli mkuu,
Hata hivyo Nimeongea na Makene Muda huu.Dr.Slaa yupo Jukwaani anaendelea na mkutano mkubwa.Anasema hadi CCM wameingia kusikiliza.Picha zitatumwa soon
mnaendelea kutafuta picha za kuedit, tunavyowajua nyie kwa kupenda sifa picha zingekuwa zishakuwa uploaded kitambo sana!! hata jana za kahama mmeweka za mwaka 2011.....ukitaka kuwa muongo lazima uwe smart sana
ccm ni kikundi cha walaghai wazandiki mamluki...ovyo kabisa na walaaniwe wao na vizazi vyao.....nape jitu patel.
Wadau,
Ukitumia utundu wa Photo Interpretation (au pengine niseme photo reading), inakuwa kama Mapokezi ya Dr. Slaa kule Kigoma Leo yanaenda bila formation nzuri ya Red Brigade. Au sijaona vizuri? Wenzangu mnaionaje picha hii? Ulinzi wa Kamanda Slaa umekaa vizuri?
Vijana wa LUMUMBA kweli wanatisha na mbaya hawachoki!
Haya endeleeni za mwizi na wasaliti ni Arobaini na muda mwingine hata hizo siku arobaini hazifiki.
Ni kweli mkuu,
Hata hivyo Nimeongea na Makene Muda huu.Dr.Slaa yupo Jukwaani anaendelea na mkutano mkubwa.Anasema hadi CCM wameingia kusikiliza.Picha zitatumwa soon
Kitu nilicho kiona hapa kila eneo ambalo Dr Slaa ana kwenda kufanya mkutano mamuluki tayari wamesha tanguliza watu wao kwa ajili ya kutengeneza uwongo na kusambaza wao.
Hii ni picha ya zamani uliwekwa na kundi la Tuntemeke ili kukichafua chadema.....sio ya kutimia maana ni!