Hakuna perfect relationship duniani

Hakuna perfect relationship duniani

aghrrrr kuna watu.wanamaudhi hadi unatamani umtafune nyama

Unapoona mapungufu kwa mwenzio ucdhani ww uko kamili lazima kuna mahari hujakamilika ndiomaana kuvumiliana kunahucka zaidi ili kujenga.mahusiano.mema
 
Kusameheana kupo, but dont forget the deal breakers

Yes,bt ukiwa na mtu unaeamini unampenda ucwekeze ktk kusaka mapungufu yake cz sote ni wanadamu tunakosea sana kinachofanyika nikuvumiliana nakureekibisha yale yanayozidi unles km mmeingia kwenye mahusiano kila mtu kutafuta maslahi kwa mwenIe.labda yakiuchumi so yakikosekana ndo mnataftiana sababu yakumwagana
 
Kuna watu wengne hatunaga makuu..yani hata tuzinguane vp,mwisho wa siku tunasamehe tu na maisha yanasonga..
 
Binafsi nimefuatilia sana mambo ya mahusiano haya yakisasa nimegundua watu wapo kimaslah zaidi....kila mmoja anaingia kwenye mahusiano akitegemea kupata kitu flan na hasa PESA watu wamewekeza sana kwenye eneo hilo....wanafanya maigizo mengi kuonyesha wanapendana Ingawa sikupendana kikweli wanategeana ili kufikia lengo na mmoja wao akishtukia kuwa hapa Lengo halitimii sababu za hovyo zitaanzishwa ili kumwagana .....ndio.maana leo hii mtu ndani ya mwaka mmoja amekuwa na mahusiano zaidi ya mara 20.....
 
Na hilo ni tatizo.... now dayz people are being used and material are being luved... too bad....
 
yes,bt ukiwa na mtu unaeamini unampenda ucwekeze ktk kusaka mapungufu yake cz sote ni wanadamu tunakosea sana kinachofanyika nikuvumiliana nakureekibisha yale yanayozidi unles km mmeingia kwenye mahusiano kila mtu kutafuta maslahi kwa mwenie.labda yakiuchumi so yakikosekana ndo mnataftiana sababu yakumwagana

mkuu si kila pungufu linavimilika
 
Jamani ni kweli, yaani mtu kwakuwa mmetofautiana ana kutreat like a strenger? Dunia ni mapito, makosa na matatizo tumeumbiwa wanadamu. Itc so paining kwa mtu uliyekuwa nae karibu mkatofautiana akakuchukia hata Mungu hapendi.

Ingawa kwa kweli wengine inahitaji Neema ya Mungu ndio wakunjue mioyo yao.
 
kuna watu hawatakagi misamaha

UKIMKOSEA NDO BASI

Mi huwa nakosa Amani mtu akishindwa kunisamehe as far as nimemuomba msamaha. Wengine mtoka kwenye best friends mnakuwa most enemies. Ila ni utashi wa mtu na imani aliyonayo.
 
mkuu si kila pungufu linavimilika

Nikweli kabisa haitakiwi mtu uishi kwenye mahusiano ambayo unakuwa mtumwa ninachomanisha nikwamba unapoona mwenzio ameeanza kuzingua lazima mjitahidi kuzungunza kwa lengo la kuwekana sawa unajitahudi iwezekanavyo Ili hata km mnatemana hata jamii haitakuhukumu sasa Ninachokiona kwa mahusiano ya kisasa watu wanaviziana baada ya malengo ya mmoja wao kutotimia so anatafuta sababu zakijinga tu ila wamwagane akatafute kambi nyingine....
 
Nikweli kabisa haitakiwi mtu uishi kwenye mahusiano ambayo unakuwa mtumwa ninachomanisha nikwamba unapoona mwenzio ameeanza kuzingua lazima mjitahidi kuzungunza kwa lengo la kuwekana sawa unajitahudi iwezekanavyo Ili hata km mnatemana hata jamii haitakuhukumu sasa Ninachokiona kwa mahusiano ya kisasa watu wanaviziana baada ya malengo ya mmoja wao kutotimia so anatafuta sababu zakijinga tu ila wamwagane akatafute kambi nyingine....
hakuna binadamu mkamilifu
ila kila binadamu amepewa point of no return
jiulize sana kwanini unaeza kuta mtu yupo kwenye uhusiano anateseka ila haondoki wa nje ndio mnabaki kujiuliza kwanini?
kuna mahali atafikia ataondoka hapo ndo point of no return na tumetofautiana
uvumilivu na kusameheana kupo ila tu usiishi kwenye uhusiano ambao ni mateso kwako
kuna mtu anaeza vumilia kuwa cheated on ila kuna mwingine hawezi,mwingine anaeza vumilia harufu,mwingine hawezi,mwingine uongo etc mi nadhani cha muhimu ni being yourself na kusali.ukiona yamekushinda..:llama:
hakuna formula ya uvumilivu
 
hata biblia inasema samehe mara 7 mara 70,ila jamani kuna kero za ajabu sana ktk mahusiano,na wengine esp wanaume they dnt care vitu wanavyofanya,wanadhan wanawake tuna roho za chuma,kuna kuchoka jamani,maana ingekua maudhi yanaacha tobo,hakuna moyo wa mwanamke hata mmoja duniani wenye nafas ya kutoboka tena.tukiwachoka mansema tumeanza dharau na michepuko,
 
Back
Top Bottom