Mimi ugomvi wangu ni kwa waandishi wa habari wa hapa Tanzania. Kila mara tunaona wakifanya
mahojiano na viongozi wakuu wa serikali kuhusu miaka 50 ya "UHURU WA TANZANIA BARA". Hivi ni
kwanini huwa hawaulizi haya maswali rahisi lakini very tricky. Hivi hawa waandishi wetu (minus wa TBC1
na Radio Taifa hawa ni ma-vuvuzela wa watawala) huwa hawaoni waandishi wa nje wanavyojiandaa
wanapofanya mahojiano? Badala ya waaindishi wetu kuongoza mahojiano unakuta muhojiwa ndiyo
ana-dictate mahojiano.
Now wonder Mkapa aliwaita MAKANJANJA, the guy was extremly right!
mahojiano na viongozi wakuu wa serikali kuhusu miaka 50 ya "UHURU WA TANZANIA BARA". Hivi ni
kwanini huwa hawaulizi haya maswali rahisi lakini very tricky. Hivi hawa waandishi wetu (minus wa TBC1
na Radio Taifa hawa ni ma-vuvuzela wa watawala) huwa hawaoni waandishi wa nje wanavyojiandaa
wanapofanya mahojiano? Badala ya waaindishi wetu kuongoza mahojiano unakuta muhojiwa ndiyo
ana-dictate mahojiano.
Now wonder Mkapa aliwaita MAKANJANJA, the guy was extremly right!