Yusuph Issa
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 528
- 82
thread nzuri mkuu kiukweli tunahitaji mada kama hizi hili kujenga hili jukwaa kiukweli HAKUNA MWANAMKE MZURI KAMA MKEO WAKO jifunze kumheshimu over!!!
thread nzuri mkuu kiukweli tunahitaji mada kama hizi hili kujenga hili jukwaa kiukweli HAKUNA MWANAMKE MZURI KAMA MKEO WAKO jifunze kumheshimu over!!!
Wacha baba paroko niwahusie wasije wakaanguka dhambini ....!!!!!!!!!
- She is the one who decided to put up with all(ALL) your short comings and weaknesses forever
- Umemkosea mara nyingi na amekusamehe na mko pamoja
- Amewaacha wanaume wengine wote na anakuwaza wewe tu...Hata kama akilalamika unachelewa kufika nyumbani-(Imagine someone who wants to see you there na humpi chochote). Wakati kwengine kila mtu yuko busy na mambo yake
- Big up kwa wives wote!!!
mpe maneno, lolKulikuwa na haja gani ya ku quote mada nzima ndugu yangu??
BACK TO TOPIC
Kama hakuna aliyekamilika huyo unaemtamani nae si hajakamilika?
Unakuwa unaongeza tatizo au unapunguza?
Huyu ni mwanamke uliyemchagua kati ya wana wake zaidi ya Bil 3 walioko duniani
Umemchagua akulelee wanao
Umemchagua akupikie chakula
Umemchagua akupe huduma zote tena katika maisha yako yete
Iweje uwaone wanawake wa mitaani kuwa ndio wazuri??
Unadhani unakuwa unamtendea haki mkeo kweli?
Umenena!
Mimi nampenda mke wangu,
hapa nilipo nasema, mke wangu anaandika. halafu kwa pamoja tunacrik ok! Kutuma comment yetu. Da.! Tunapendana hadi raha.