Hakuna mwanaume malaya ila huwa wanajipoza tu kuondoa stress

wa hivyo mpo ila wenye kero pia wapo, mimi hakuna kitu sipendi kama maneno yaaani sipendi mpaka sipendi tena. Ukitaka kuninyima kitu tanguliza maneno hata sitohangaika nawe. Nadhani ndio maana sipendi mwanamke muongeaji sana
Wa hivyo anakera na mara nyingi anakua sio mstaarabu.
Wewe inatakiwa upate mtu mpole, usipate kivuruge atakustress
 
Mwaka kesho tarehe Kama hizi mtembelee utakuta Ana kichanga tayari. Achana na wanaume watajitetea wenyewe, wanaweza wenyewe bila kutetewa, waliumbwa hivyo, not soft as we women.. penye Ugumu atatafuta njia sahihi mwenyewe.
 
Wanaume Sio waongeaji wa mateso na manyanyaso wayapatayo toka kwa wanawake wenye sumu au circle sin women.
Thus wengi ufa mapema.
Magonjwa
Miili isiyo na Nuru.
 

Attachments

  • 5258416-489251e672c6251eb3a2bd9a6e0856b6.jpg
    5258416-489251e672c6251eb3a2bd9a6e0856b6.jpg
    6.1 KB · Views: 3
  • woman_yelling_at_man_covering_ears_rg7-1048.jpg
    woman_yelling_at_man_covering_ears_rg7-1048.jpg
    33.5 KB · Views: 3
Atamjuaje kabla ya kuishi nae kumbuka uficha Tabia zao ili waingie kwenye ndoa
Mkiwa kwa mahusiano mtu wa kupretend utamjua tu.
Ila pia hamna aliye perfect, muhimu hapo ni kuangalia yule ambaye atleast weakness zake unaweza kuzibeba then unakomaa nae.
 
Pana mwanaume alipigiwa kelele usiku kucha na mke wake wakizozana usiku toka kwa toxins women kufika asubuhi mwanaume akafa.
Wanawake wakiacha kelele talaka zitakuwa chache sana.
Kama wewe ni chiriku ukufunzwa kufunga mdomo utotoni achana kabisa na kitu kinaitwa ndoa,utaachika tu.
Wanaume wenye uwezo wa kuvumilia kelele ni wachache ndoa ni kauli.
 
Back
Top Bottom