afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,779
Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa HAHAHAHAHANimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.
Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.
Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70
Sikukuu njema.
Nimemwelewa ndio.... Kasema tusikulwe kabisaadada yako unamwelewa kweli?
mbona walia tena?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1]
Hakuna sababukwanini ufe katika zinaa?
Me hapaHakuna mwanamke asiyependa kukojozwa pia
Mkuu yule jamaa ako ameanza kukuelewa?..uliweza kujitoa ufahamu kumfungukia?Mwenyekiti mi nataka nitoke chamani... Nimechoka 2yrs sio mchezo
Sipendi uongo mie. Wasiopenda kila la kheri kwao!msema kweli mpenzi wa MUNGU
Unafurahisha kinoma yanNimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.
Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.
Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70
Sikukuu njema.
Katika watu niliokuwa nawakubali kwenye kuchangia point humu JF ww ni mmoja wapo Big up mkuuSasa Ulitegemea tumepewa vikojoleo vya kutembelea [emoji57][emoji57].
Mpango wetu ule ule tunza bikra tukafaidi mbinguni.
[emoji3][emoji3] kwa hiyo siku hizi natema pumba mkuuKatika watu niliokuwa nawakubali kwenye kuchangia point humu JF ww ni mmoja wapo Big up mkuu
Miss natafuta ni bikra[emoji15] [emoji15] [emoji15]usikubali tunza bikira yako!!!
Hata kuku wa mayai nao mwisho wa siku hua kuku wa nyama tu.usikubali tunza bikira yako!!!