Hakuna mwanaume asiyependa ngono

Hakuna mwanaume asiyependa ngono

Hivi kumbe watu hawalali eeeh! Unaebania hafu bdae uiache ardhn utakua umefaidka nn? Maana hata mbinguni huend nayo!
 
Kama mtoa mada ni bikra niko tayari kukuhonga 5ml na noah nyeusi yenye tinted hahahaha
 
Tunafanya hivyo kuwaepusha nyinyi mnaochekacheka ovyo wakat wa heat period, nyie hamuoni tunawaokoa na huo ugonjwa xo tulia tuwatibu........ Genye on fire.com
 
Nimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.

Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.

Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70

Sikukuu njema.
Bangi mbaya sana ukiipiga na mbegu zake.
 
Nacho kiamini hakuna mwanamke mjanja kwa mwanaume. Kugegedwa kutaendelea na ni nature yetu [HASHTAG]#tutaendelea[/HASHTAG] kuwashikisha ukuta#
 
Binti kutofanya ngono kunaweza sababisha kansa ya matiti na via vya uzazi, sasa wewe miss Natafuta washauri vibaya tu wenzio kumbe ww Ina duuh
 
Nimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.

Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.

Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70

Sikukuu njema.
Daaa jf kutamu sana,yaan ww miss natafta ha ha haaaa,nimeipenda hyo
 
Back
Top Bottom