Hakuna mwanaume asiyependa ngono

Achana kabisa na mti nyama' hii ki2 ni noma..na ndo kitu pekee chepes duniani kuliko vyote..yan unakinyanyua kwa kutumia hisia2
 
Nimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.

Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.

Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.

Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.

Sikukuu njema.
Dada unataka kubadilisha matumizi ya iyo kitu, kazi yake ni kugegedwa sasa kama utaki ifanye kazi yake, utaipa kazi gani?
 
Nimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.

Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.

Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.

Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.

Sikukuu njema.
Ina maana hilo umelijua leo baada ya kukutana na visiki kibao ama.
 
Wanawake ndiyo wanapenda kugegedwa balaa, tena siku hizi wanapenda migegedo mikubwa mikubwa, ndani ya ndoa usipomgegeda yupo radhi ndoa ivunjike.
 
Back
Top Bottom