Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,905
- 150,212
Mkuu kama una list ya snipers movie nishirikisheKuna ile inaitwa Sniper Legacy
Mkuu kama una list ya snipers movie nishirikisheKuna ile inaitwa Sniper Legacy
Umesahau Charlie,Bravo, Alpha mkuuKwa watu kama mimi ambao tunaopenda tukio lililotokea ndio tutazame movie yake lazima nizikubali Saving Private Ryan, 1917, Dunkirk, Hacksaw Ridge, We were Soldiers, The Bridge too Fall, Greyhound na movies kama hizo.
Napenda historia hasa za kivita na huwa nazisoma. Hizo movie unakuta kabla sijaitazama nimesoma matukio yake kiuhalisia hivo nakuwa kwenye ulimwengu halisi.
Kuna utamu wa kutazama movie inataja terms kama mole, double agent, war ration, mayday, D day au majina kama Omaha beach, Spitfire, Heinrich Himmler, Goebbels, Mushashu. Yani ukijua kitu afu ukatazama movie yake ni raha sana. Achana na hawa kina Vin Diesel na makontena ya pesa.
Hii ni mwisho wa matatizo, kwanza mwanzo tu wa movie kama una roho nyepesi huwezi kuendelea kutazama. Watu walichakazwa na risasi yaani sio poa.
Hivi kuna movie ya kivita kali zaidi ya hii? Nitajie kama ipo
Huu mzigo ni hatar mkuu, na kuna kitu inaitwa T-34 inafanana kwa mbali na furry ni balaaFury
Hii ni mwisho wa matatizo, kwanza mwanzo tu wa movie kama una roho nyepesi huwezi kuendelea kutazama. Watu walichakazwa na risasi yaani sio poa.
Hivi kuna movie ya kivita kali zaidi ya hii? Nitajie kama ipo
Hii mdio yenyewe. Hiyo ya private R ni stor tu ndio inaifanya iwe nzuri hasa dogo alivyo amua kujitolea kuchota miili ya wanajeshi waliokufa ila lone survivor ni habari nyingine. Uhalisia wa kitosha kabisaNenda kaangalie LONE SURVIVOR, alafu urudi tujadiliane upya baada ya kubadilisha title ya post yako.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hizo zote zinakomeshwa na whitehouse down.Aisee binafsi London has Fallen katika ile Sequel ndio naonaga moto mwingine haaf Of course inafuata Olympus has Fallen, ile latest ya Angel has Fallen sijaielewa kivile + nahis hii thread hakuna younglings au
Hatari iliyokamilikaHow about Tears of the Sun??
we are soldierHii ni mwisho wa matatizo, kwanza mwanzo tu wa movie kama una roho nyepesi huwezi kuendelea kutazama. Watu walichakazwa na risasi yaani sio poa.
Hivi kuna movie ya kivita kali zaidi ya hii? Nitajie kama ipo
Lone survivor ina kisa kizuri ila haina mtiririko mzuri. Kwa mtazamo wangu iko very poor.Nenda kaangalie LONE SURVIVOR, alafu urudi tujadiliane upya baada ya kubadilisha title ya post yako.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
We were soldiersSaving Private Ryan
We were Soldiers
Black Hawk Down
Hzo ndo muvi zangu kali za kivita
Sema movie ya black hawk down haielezei uhalisia wenywewe kwa ground ilivyokuwa... Kuna matukio yalitokea haswa kwa upande wa Marekani ila hayajaonyeshwa.We were soldiers
Black hawk Down
Saving private Ryan
Kwangu mimi mpangilio uko hivyo
Swadakta.Behind the enemy line
Wale waasi wanamwaga risasi kama hawana akili vilePale mwisho ilibidi helicopter zije kuwasaidia maana walizidiwa kabisaaa, bonge moja la movie