Hatari hii kitu..walibalaswa hadi huruma.Lone survivor ni balaa na nusu.
Zilipigwa gun pale US soldiers walikufa wote akaponea mmoja kwa kufichwa ndani.
Nakubali mkuu nashangaa watu hawaitaji Black hawk down umuWe were soldiers
Black hawk Down
Saving private Ryan
Kwangu mimi mpangilio uko hivyo
Nenda kaangalie LONE SURVIVOR, alafu urudi tujadiliane upya baada ya kubadilisha title ya post yako.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Marcus si yupo bado lakini? Aliye survive.Hii movie nayo ni based on true story ya Gulf War japo wameibadilisha kuifanya Afghanistan.
Novel yake inaitwa Bravo two zero- imeandikwa na Ex-special force wa British Andy Macnabby
Safi sana, hii muvi ya kitambo kinomaApocalypse now
Itafute sucrifice ni ya 2021Hii ni mwisho wa matatizo, kwanza mwanzo tu wa movie kama una roho nyepesi huwezi kuendelea kutazama. Watu walichakazwa na risasi yaani sio poa.
Hivi kuna movie ya kivita kali zaidi ya hii? Nitajie kama ipo
Nilikua namuelewa sana private Jackson, kabla haja mshoot mtu anatoa quote ya kwenye biblia then anaua chapHii ni mwisho wa matatizo, kwanza mwanzo tu wa movie kama una roho nyepesi huwezi kuendelea kutazama. Watu walichakazwa na risasi yaani sio poa.
Hivi kuna movie ya kivita kali zaidi ya hii? Nitajie kama ipo
Hii movie kali sanaHow about Tears of the Sun??
Hii movie nmeiona lakini jina nimesahau.. ni nzuri piaHii movie kali sana
13 hours Secret soldier
Kuna movie niliiona sikuikariri jina; kuna soldiers kama wa3 wanapewa mission wakamuue kiongozi wa waasi Jangwani, baada ya kufika mission ikiendelea mmoja akafa kwa mabomu ambayo yapo pale jangwani yaliangushwa kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe yakajifukia na mchanga wa jangwani (ukikanyaga bahati mbaya linalipuka)
sasa huyu starring na mwenzie katika pitapita jangwani mwenzie akakanyaga bomu likalipuka na yy hatua moja mbele akakanyaga bomu , ikabidi asitoe mguu akanya mawasiliano ya rescue unit ambayo ilikuja kufika 24 hours later muda wote huo akiwa kakanyaga palepale usiku kucha anang'!atwa na mbwa mwitu,
baada ya waokozi kuja ikaja kugundulika hakukanyaga bomu ila ameteseka bure tu
hakuna mtu kaiona hii jamani anipe jina.
Lone Survivor
Yeah nzuri sana inafundisha kituHii movie nmeiona lakini jina nimesahau.. ni nzuri pia