Hakuna mkubwa zaidi ya serikali

Hakuna mkubwa zaidi ya serikali

Tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani kumezuka kakundi kadogo cha watu kinachotaka kujifanya kinapingana na kila jambo la serikali labda niwakumbushe serikali hakuna aliye mkubwa kuliko serikali ndani ya nchi,
sasa wapuuzeni na mchukue tahadhari muwafiche mpaka miaka kumi ikifika ndio tuwaone baada ya uchaguzi,dunia hii hakuna jipya serikali zote zinadaiwa na linapofika swala la kitaifa watu huungana na kuwa kitu kimoja ila kwa nchi hii hakuna kwani kipi cha ajabu tangu kipindi hicho nchi ilikua inavunja mikataba na inashindwa nani alisema au sasa kwa kuwa mnajua kutumia mitandao makalio juu

Rais fanya kama ulivyoahidi atakaelta fyoko mtulize na usiogope anza na huyu kimbele mbele kupoteza mmoja na kuokoa mia hujafanya kosa!

Wewe ndio mkuu wa nchi
mtaungana kama mnasikilizana cha ajabu hapa nawashangaa wa chama flani wakitoa maoni wanaonekana wanaipinga serkali. mawazo yao yaheshimiwe, lisu ni msaada mkubwa sana wa sheria tulikubali na tukubali kuyatumia mawazo yake
 
Sasa kama ana chuki na mkulu ww inakuuma nini? Ww ni mke wa mkulu? Acha bangi mbichi, jenga hoja kutetea uzembe wa serekali sio kutuonyesha eti serekali ina mkono mrefu na mkono wenyewe sio wa kulipa madeni bali ni wa kuua raia wanaoipa ukweli wake.
Sasa kama ana chuki na mkulu ww inakuuma nini? Ww ni mke wa mkulu? Acha bangi mbichi, jenga hoja kutetea uzembe wa serekali sio kutuonyesha eti serekali ina mkono mrefu na mkono wenyewe sio wa kulipa madeni bali ni wa kuua raia wanaoipa ukweli wake.
Umekuja na moto mara sijui amuue sijui upuuzi gani ukidhani utaungwa mkono na uzalendo uchwara. Hapa utapoa tu na hiyo mihemko ya kipuuzi. Watu tuna maisha magumu halafu ww umenunuliwa simu ya tecno na kujaziwa bundlle ndio unadhani wote tutasupport ujinga wako. Hao wanaokutuma hapa hata kukaa na familia yako unashindwa wanatembelea maVX, wanapata huduma zote bure kama maji, umeme, watoto wao wanasoma inter. School, wakwako wanasoma za kata na kushindia chai ya rangi na andazi wanakuvika uzalendo wa kukuchora.

Acha upuuzi dogo, serekali itekeleze wajibu wake bila visingizio vya mitaani kwani hakuna anayefanya kazi kwa kujitolea bali wanalipwa mishahara mikubwa tena isiyolingana na hali za hao wanaoitwa wanyonge.
Dada yake lissu punguza jazba kama una njaa ni yako serikali haina shamba na kama umetiwa mimba huwezi rudi shule hasira zako hazizimi jua wala hazileti mwanga!
 
Ni nani ameleta lugha mbaya kama hii. Raisi wetu hayuko hivyo. Acha roho mbaya ya kishetani unataka kutuingiza katika upotovu wa amani. Watu wa aina yako ni hatari katika nchi yoyote.

Mungu na ushindwe kabisa.

Hii ipo duniani kote, upende usipende, utake usitake, hamna aliyemkubwa zaidi ya serikali, tutakuja kupiga kelele kwenye mitandao siku mbili, maisha yanaendelea! Mifano halisi najua unayo!!! Hizi Tz sio siasa saaa, ni uhujumu uchumi!!!!
 
Hii ipo duniani kote, upende usipende, utake usitake, hamna aliyemkubwa zaidi ya serikali, tutakuja kupiga kelele kwenye mitandao siku mbili, maisha yanaendelea! Mifano halisi najua unayo!!! Hizi Tz sio siasa saaa, ni uhujumu uchumi!!!!

Kafa Nyerere na maisha yanaendelea ndio itakuwa Lissu? Mnaweza kumfanya lolote maana mko madarakani, lakini kibao kikigeuka ya Samuel Doe msishangae yakitokea. Kama huamini kibao kinabadilika kamuulize Lowassa na Sumaye, yale waliyoona ni sawa kuwafanyia wapinzani ndio hayo yanawaumiza leo. Kama mfano huo haukutoshi kamuulize Manji maneno aliyomuambia aliyeshika mpini leo na nini kinamtokea. Mtieni ujinga kisha awasikilize lakini kibao kikigeuka hamtaamini. Cha muhimu serekali itekeleze wajibu wake kwa haki. Ila hayo ya sijui huijui serekali halafu serekali ionyeshe uwezo wake kwa mauaji ni kujiweka kwenye wakati mgumu tu.
 
Dada yake lissu punguza jazba kama una njaa ni yako serikali haina shamba na kama umetiwa mimba huwezi rudi shule hasira zako hazizimi jua wala hazileti mwanga!

Dogo weka hilo shimo la tope hapo nyuma chini, linda marinda yako. Kama unaweza jenga hoja na sio vitisho kwa wanaume. Achia wenye ubavu wahakikishe serekali inatekeleza wajibu wake. Kama ukiendaga kwa viongozi unachotewa vyakula vilivyobaki, hakikisha unawapa hilo jicho vizuri huku ukikatika kisawasawa na sio kutuletea upuuzi hapa jukwaani.
 
We kipara kipya Acha kuendekeza tumbo truth to be told.
 
Hili swala la lisu kujifanya kuwa ndiye jiniaz wa Taifa litatugharimu. Maana kila kitu anajua yeye.
 
Tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani kumezuka kakundi kadogo cha watu kinachotaka kujifanya kinapingana na kila jambo la serikali labda niwakumbushe serikali hakuna aliye mkubwa kuliko serikali ndani ya nchi,
sasa wapuuzeni na mchukue tahadhari muwafiche mpaka miaka kumi ikifika ndio tuwaone baada ya uchaguzi,dunia hii hakuna jipya serikali zote zinadaiwa na linapofika swala la kitaifa watu huungana na kuwa kitu kimoja ila kwa nchi hii hakuna kwani kipi cha ajabu tangu kipindi hicho nchi ilikua inavunja mikataba na inashindwa nani alisema au sasa kwa kuwa mnajua kutumia mitandao makalio juu

Rais fanya kama ulivyoahidi atakaelta fyoko mtulize na usiogope anza na huyu kimbele mbele kupoteza mmoja na kuokoa mia hujafanya kosa!

Wewe ndio mkuu wa nchi
Ni Akili za Kipunga hizi! Nikwaambie tu:
Hakuna Mkubwa zaidi ya Taifa la Tanzania
Hakuna Mkubwa zaidi ya Wenye Taifa(Wananchi)
Serikali sii kubwa kuliko Katiba ya Nchi!

Badala ya kuwaficha, ni Bora mkajificha ninyi wenyewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili swala la lisu kujifanya kuwa ndiye jiniaz wa Taifa litatugharimu. Maana kila kitu anajua yeye.
Lissu ameisaidia Sana nchi, Hii Serikali ingekuwa na watu wenye Akili ingekuwa inamsikiliza, Yale yanayowafaa wayachukue, yasiyowafaa waachane nayo! But since inaongozwa na wanaojiaminisha wao ndo wao, hakuna mwenye akili zaidi yao, they don't do mistakes, untouchables, infallible, whatever super name you can call them, they won't! Na wataendelea Sana kuangukia pua na kuwasingizia kina Lissu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani kumezuka kakundi kadogo cha watu kinachotaka kujifanya kinapingana na kila jambo la serikali labda niwakumbushe serikali hakuna aliye mkubwa kuliko serikali ndani ya nchi,
sasa wapuuzeni na mchukue tahadhari muwafiche mpaka miaka kumi ikifika ndio tuwaone baada ya uchaguzi,dunia hii hakuna jipya serikali zote zinadaiwa na linapofika swala la kitaifa watu huungana na kuwa kitu kimoja ila kwa nchi hii hakuna kwani kipi cha ajabu tangu kipindi hicho nchi ilikua inavunja mikataba na inashindwa nani alisema au sasa kwa kuwa mnajua kutumia mitandao makalio juu

Rais fanya kama ulivyoahidi atakaelta fyoko mtulize na usiogope anza na huyu kimbele mbele kupoteza mmoja na kuokoa mia hujafanya kosa!

Wewe ndio mkuu wa nchi
Kaka una roho ngumu!!??
Usijekuwa kama jamaa mmoja yeye alikuwa tayari hata kutoa matako yake ili mradi tu mgombea aliyemtaka apite.

Wewe sasa unaelekea kumzidi kwa mahaba hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu serikali ya awamu ya tano iingie madarakani kumezuka kakundi kadogo cha watu kinachotaka kujifanya kinapingana na kila jambo la serikali labda niwakumbushe serikali hakuna aliye mkubwa kuliko serikali ndani ya nchi,
sasa wapuuzeni na mchukue tahadhari muwafiche mpaka miaka kumi ikifika ndio tuwaone baada ya uchaguzi,dunia hii hakuna jipya serikali zote zinadaiwa na linapofika swala la kitaifa watu huungana na kuwa kitu kimoja ila kwa nchi hii hakuna kwani kipi cha ajabu tangu kipindi hicho nchi ilikua inavunja mikataba na inashindwa nani alisema au sasa kwa kuwa mnajua kutumia mitandao makalio juu

Rais fanya kama ulivyoahidi atakaelta fyoko mtulize na usiogope anza na huyu kimbele mbele kupoteza mmoja na kuokoa mia hujafanya kosa!

Wewe ndio mkuu wa nchi
Kijamaa kinauzi sana aiseh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sidhani kama watu wengine hapa jf ni watanzania halisi. Kama huyu kipara. Nadhani ni wale wachochezi wanaotaka nchi zetu ziende kwenye vurugu.
Kila moja wetu awatambue "hawa wanaotaka serikali iwe juu ya wananchi na itumie nguvu"

Hawa ni maadui wakubwa wa nchi hii. Tuwatambue kwa majina na serikali iwachulie hatua za kisheria kwa kuitaka serikali iwe ovu. AMEN!
 
Back
Top Bottom