Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,695
Via NACTE na wamefunga jana..Ila mkuu navyosikia kua TCU kua Wana update kitabu Chao kila mwaka sasa wewe umeapply vipi na kitabu kipya hakijatoka nauliza tu
guidbook yao ipo ya 2016/2017
Via NACTE na wamefunga jana..Ila mkuu navyosikia kua TCU kua Wana update kitabu Chao kila mwaka sasa wewe umeapply vipi na kitabu kipya hakijatoka nauliza tu
Akili yako ni ndogo sana ivi unadhani mtu alie anza kujifunza field since ngazi ya certificate utamfananisha na wa six then chuo direct Hebu pitisha jicho faculty of engineering uone watendaji bora ni wapi kama si hawa waliopitia diploma mtu anachukua degree first year hajui lolote juu ya field yake bado unamuona ndio wa maana?Naunga mkono hoja...
Kwa miaka ya karibuni vyuo vimepoteza sifa kwa kudahili wanafunzi wasiostahili kudahiliwa kwa ngazi ya degree... Leo imekuwa kawaida mwanafunzi Mwenye ufaulu Wa division 3 anenda kuchukua degree matokeo yake ni kuzalisha kundi la vijana wasiokuwa na uwezo Wa kureason na kuongea logic.. Kwa ambao wamepita vyuon miaka ya hivi karibuni ninaamin watakuwa wameliona hili .. Haiwezekan tuwe taifa la kuzalisha Quantity ya wasomi badala ya Quality ya wasomi... Njia pekee ya kupata wanafunzi Wa vyuo wenye quality ni kuhakikisha tunakuwa na mechanism filter ya kuchuja waliofeli na kupata cream safi ya wanafunzi ili wakasome degree.. Div 1& 2 ndio wawe wanafunzi Watakaochukuliwa kusoma degree...
Kuhusu suala la mkopo naunga hoja mkono..... Kwa kipindi kirefu wanafunzi wanaojiunga na masomo ya degree kwa sifa za diploma wamekuwa wakinunyimwa mikopo kwa sababu zisizo na maana... Ila kwa punguzo la ada kwa 35% itasaidia saaaaana
Anhaaa sawa mkuu kwahiyo hizi ni kama tetesiVia NACTE na wamefunga jana..
guidbook yao ipo ya 2016/2017
Kwani sifa za kusoma degree ni division au principal za advance? Mwenye dvsn 3. 13, 14, 15 ana principal 2 zinazomruhusu kusoma universityNaunga mkono hoja...
Kwa miaka ya karibuni vyuo vimepoteza sifa kwa kudahili wanafunzi wasiostahili kudahiliwa kwa ngazi ya degree... Leo imekuwa kawaida mwanafunzi Mwenye ufaulu Wa division 3 anenda kuchukua degree matokeo yake ni kuzalisha kundi la vijana wasiokuwa na uwezo Wa kureason na kuongea logic.. Kwa ambao wamepita vyuon miaka ya hivi karibuni ninaamin watakuwa wameliona hili .. Haiwezekan tuwe taifa la kuzalisha Quantity ya wasomi badala ya Quality ya wasomi... Njia pekee ya kupata wanafunzi Wa vyuo wenye quality ni kuhakikisha tunakuwa na mechanism filter ya kuchuja waliofeli na kupata cream safi ya wanafunzi ili wakasome degree.. Div 1& 2 ndio wawe wanafunzi Watakaochukuliwa kusoma degree...
Kuhusu suala la mkopo naunga hoja mkono..... Kwa kipindi kirefu wanafunzi wanaojiunga na masomo ya degree kwa sifa za diploma wamekuwa wakinunyimwa mikopo kwa sababu zisizo na maana... Ila kwa punguzo la ada kwa 35% itasaidia saaaaana
Hahaha nadhan unawazungumzia engineers wanaojenga barabara kama kachube road siku mbili zimeharibika....Akili yako ni ndogo sana ivi unadhani mtu alie anza kujifunza field since ngazi ya certificate utamfananisha na wa six then chuo direct Hebu pitisha jicho faculty of engineering uone watendaji bora ni wapi kama si hawa waliopitia diploma mtu anachukua degree first year hajui lolote juu ya field yake bado unamuona ndio wa maana?
Kwa hiyo uliipigia kura ccm? [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Degree mpaka uwe na GPA ya 3.5?? Diploma holders hawapewi mkopo??? Kama ndo hivi kura zetu zilipotea bure[emoji22] [emoji22]
washaidrop mbona ipo hiko hapoIla mkuu navyosikia kua TCU kua Wana update kitabu Chao kila mwaka sasa wewe umeapply vipi na kitabu kipya hakijatoka nauliza tu