Hakuna mkopo kwa diploma holders kwenda degree

Hakuna mkopo kwa diploma holders kwenda degree

Status
Not open for further replies.
Habari kwa wahitimu wote wa kidato cha sita na wahitimu wote wa stashahada mwaka 2016. Ni dhahiri kumefanyika mabadiliko makubwa Katika bodi ya usajili vyuo vikuu hii imehusisha mabadiliko ya viongozi wa bodi pamoja na baadhi ya miongozo ya usimamizi.

Kwa wahitimu wa kidato cha sita,wanafunzi watakao pata daraja la kwanza na la pili yaan division one na division two ndio watakosajiriwa kwa elimu ya shahada yaan degree na kwa wale watakaomaliza diploma ni wale watakaopata hazini ya ufaulu Kuanzia 3.3 na kuendelea yaani GPA ya 3.3.kwa wahitimu wa kidato cha sita watakaopata daraja la tatu yaani division 3 watasoma stashahada adhiri yaani special diploma hii itachukua na wahitimu wa stashahada ambao hawakukidhi viwango.

Ieleweke wazi hakutakua na usajili wa wahitimu watakao pata daraja la nne na wale watakaopata GPA chini ya 3.3 kwa wahitimu wa stashahada pia hakutakua na mkopo wa wanafunzi wa stashahada adhiri kama ilivyokua awali,Bali patakuwa na punguzo la ada la asilimia 35 kutokana na ufinyu wa bajeti mwaka 2016/2017.imesainiwa na kupita

Mtoa Mada Ulichoelezea ni Tofauti na Tittle ya Maelezo yako.

Kichwa Cha Habari Kinasema: "Hakuna mkopo kwa diploma holders kwenda degree"

Lakini Kwenye Maelezo Umeandika hivi: "Ieleweke wazi hakutakua na usajili wa wahitimu watakao pata daraja la nne na wale watakaopata GPA chini ya 3.3 kwa wahitimu wa stashahada pia hakutakua na mkopo wa wanafunzi wa stashahada adhiri kama ilivyokua awali, Bali patakuwa na punguzo la ada la asilimia 35"

Kulingana Na Maelezo Yako Ni Kuwa Hakutakua na Mkopo Kwa Wanafunzi Wale "Watakaodahiliwa Kwa Ajili Ya Kusoma Stashahada adhiri" na Sio Wale Watakao Soma Degree huku wakiwa Wameshahitimu Diploma.

Kwahiyo Ukitaka Kusoma Diploma Maana Yake Ujipange Na Ada Yako Mkononi ila Watapata Punguzo la Ada Kwa asilimia 35% tu.

Lakini Ukiwa Unadiploma na GPA yako ni above 3.3, Basi Utadahiliwa na Kupewa Mkopo.

Tujifunze Kusoma Kwa Ufahamu na Sio Kusoma Kwa Ajili ya Ubishi.
 
Habari kwa wahitimu wote wa kidato cha sita na wahitimu wote wa stashahada mwaka 2016. Ni dhahiri kumefanyika mabadiliko makubwa Katika bodi ya usajili vyuo vikuu hii imehusisha mabadiliko ya viongozi wa bodi pamoja na baadhi ya miongozo ya usimamizi.

Kwa wahitimu wa kidato cha sita,wanafunzi watakao pata daraja la kwanza na la pili yaan division one na division two ndio watakosajiriwa kwa elimu ya shahada yaan degree na kwa wale watakaomaliza diploma ni wale watakaopata hazini ya ufaulu Kuanzia 3.3 na kuendelea yaani GPA ya 3.3.kwa wahitimu wa kidato cha sita watakaopata daraja la tatu yaani division 3 watasoma stashahada adhiri yaani special diploma hii itachukua na wahitimu wa stashahada ambao hawakukidhi viwango.

Ieleweke wazi hakutakua na usajili wa wahitimu watakao pata daraja la nne na wale watakaopata GPA chini ya 3.3 kwa wahitimu wa stashahada pia hakutakua na mkopo wa wanafunzi wa stashahada adhiri kama ilivyokua awali,Bali patakuwa na punguzo la ada la asilimia 35 kutokana na ufinyu wa bajeti mwaka 2016/2017.imesainiwa na kupita
Weka source ya habari yako, tumechoka na porojo zenu
 
DIVISION 1&2 WANAOPATA HAWAFIKI 500 VYUO VITAKUWA HAVINA WATU KABISAA NGOJA TUONE HII MOVE
Akili za hivi zina mushikeri. Kwani watu wanasoma ili kujaza vyuo? kwanini vyuo visibadilike navyo vikawa flexible? hatuitaji wanavyuo wengi pasipo na sifa maalum, tunataka wasome wenye sifa kweli za kuwa vyuoni, acheni upuuzi wenu wa kutujazia vyuo na madarasa kisa mnafanya biashara ya elimu, tafuteni kazi nyingine
 
Habari kwa wahitimu wote wa kidato cha sita na wahitimu wote wa stashahada mwaka 2016. Ni dhahiri kumefanyika mabadiliko makubwa Katika bodi ya usajili vyuo vikuu hii imehusisha mabadiliko ya viongozi wa bodi pamoja na baadhi ya miongozo ya usimamizi.

Kwa wahitimu wa kidato cha sita,wanafunzi watakao pata daraja la kwanza na la pili yaan division one na division two ndio watakosajiriwa kwa elimu ya shahada yaan degree na kwa wale watakaomaliza diploma ni wale watakaopata hazini ya ufaulu Kuanzia 3.3 na kuendelea yaani GPA ya 3.3.kwa wahitimu wa kidato cha sita watakaopata daraja la tatu yaani division 3 watasoma stashahada adhiri yaani special diploma hii itachukua na wahitimu wa stashahada ambao hawakukidhi viwango.

Ieleweke wazi hakutakua na usajili wa wahitimu watakao pata daraja la nne na wale watakaopata GPA chini ya 3.3 kwa wahitimu wa stashahada pia hakutakua na mkopo wa wanafunzi wa stashahada adhiri kama ilivyokua awali,Bali patakuwa na punguzo la ada la asilimia 35 kutokana na ufinyu wa bajeti mwaka 2016/2017.imesainiwa na kupita

Hii hata sio TETESI na pili inahusu mabadiliko ya sera ningetegemea uweke CHANZO chako ili tujue tunachojadili kina uhasilia gani.
 
Degree mpaka uwe na GPA ya 3.5?? Diploma holders hawapewi mkopo??? Kama ndo hivi kura zetu zilipotea bure[emoji22] [emoji22]
Diploma holder wenye below 3.3 ndo hawapati mkopo.... 4.0..unakula mkopo
 
Hah... Habari inatisha hii... Div 3 na diploma holder below 3.3 unapitia stashahada adhiri... Haina mkopo hiyo... Div 2 and 1 pamoja na above 3.3....unapata mkopo... Ila sio official hii habari... Tusubiri tu
 
Nina upper class diploma holder mkopo sitopata[emoji22][emoji22]
 
Kama habari hii ikithibitika,itakuwa imewaumiza ndugu zetu wengi sana.

Sioni mantiki kwanini waliopata ufaulu wa daraja la 3 wasidahiliwe chuo kikuu na kwa diploma wenye gpa chini ya 3.3 wasidahiliwe chuo kikuu,utakuwa ni uonevu

Tuje kwenye mkopo,wametumia kigezo gani kusema hawa watu wasipate mkopo?!maisha ya diploma holders na freshers yanafanana except diploma holders ambao wapo kwenye ajira ambao ni wachache sana

Kwa maoni yangu,bora wangeainisha ufaulu wa kupata mkopo kwa diploma na freshers ili kuondoa mkanganyiko
Kweli
 
DIVISION 1&2 WANAOPATA HAWAFIKI 500 VYUO VITAKUWA HAVINA WATU KABISAA NGOJA TUONE HII MOVE
Tena science ndo kabisaaaa,wengi hupata huto tu three baada ya kujikanyaga ile mbaya,hizo one na two kwa science hutokeza chache mnoooo!!!
 
Nina upper class diploma holder mkopo sitopata[emoji22][emoji22]

Bila shaka ulimaanisha una upper second class ya diploma! Wewe mkopo ni halali yako maana upper second class inaanzia GPA ya 3.6-4.0 kwa engineering, sijui kwa faculty zingine.
 
Habari kwa wahitimu wote wa kidato cha sita na wahitimu wote wa stashahada mwaka 2016.

Ni dhahiri kumefanyika mabadiliko makubwa Katika bodi ya usajili vyuo vikuu hii imehusisha mabadiliko ya viongozi wa bodi pamoja na baadhi ya miongozo ya usimamizi.kwa wahitimu wa kidato cha sita,wanafunzi watakao pata daraja la kwanza na la pili yaan division one na division two ndio watakosajiriwa kwa elimu ya shahada yaan degree na kwa wale watakaomaliza diploma ni wale watakaopata hazini ya ufaulu Kuanzia 3.3 na kuendelea yaani GPA ya 3.3.kwa wahitimu wa kidato cha sita watakaopata daraja la tatu yaani division 3 watasoma stashahada adhiri yaani special diploma hii itachukua na wahitimu wa stashahada ambao hawakukidhi viwango.

Ieleweke wazi hakutakua na usajili wa wahitimu watakao pata daraja la nne na wale watakaopata GPA chini ya 3.3 kwa wahitimu wa stashahada pia hakutakua na mkopo wa wanafunzi wa stashahada adhiri kama ilivyokua awali,Bali patakuwa na punguzo la ada la asilimia 35 kutokana na ufinyu wa bajeti mwaka 2016/2017.

1f446
1f446
1f446
1f446
1f446
1f446
1f446

Kuna haja ya kupitia taarifa Mara kwa Mara ili kujua nini kinajiri maana unaweza kushangaa haupo kwenye mstari.

Ukipata nafasi itumie mapema maana ipo siku sheria. Taratibu na vigezo hubadilika ghafla na kuwaathiri wengi sana.

Waziri anaweza kufanya mabadiliko kulingana na alivyofaulu yeye.

Pia mabadiliko hayo yaliyo mengi huchochewa na chuo kikuu cha Dar es salaam ambacho serikali huchukulia kuwa ndo chuo pekee hapa nchini na vingine ni vya vilaza.

Ikumbukwe kwamba degree ya udsm na ya vyuo vingine zote ni degree na zina hadhi sawa.

Wakati mwingine vyuo vya kati vinatoa ELIMU na ujuzi wa maana kuliko chuo kikuu cha DSM na vyuo maarufu nchini.

Elimu yetu inayumbishwa na mabadiliko kila kukicha ambayo hayana tija bali kuendelea kuleta hofu nchini Tanzania.

Kuna watu wenye division 3 form 6 kwa sasa hawaruhusiwi kusoma degree.

Kuna wenye diploma na GPA ya 3.0 hawaruhusiwi kusoma degree.

HOFU YANGU
Inawezekana ikaingia hadi kwenye soko la ajira na kuwaathiri wahitimu ambao watajikuta hawaajiriki kwa kuwa na ufaulu mdogo.

Inawezekana hata waliopo kazini wakaathirika na mabadiliko makubwa yasiyo na tija.

Kwahiyo kuna haja ya kuwa na taarifa sahihi kila kukicha vinginevyo unaweza kupata tatizo kwa kutokujua nini kinaendelea nchini.

Tumwombe sana Mungu mabadiliko hayo yasituathiri bali yatujenge zaidi.

By Mrutu E.M
 
Habari kwa wahitimu wote wa kidato cha sita na wahitimu wote wa stashahada mwaka 2016.

Ni dhahiri kumefanyika mabadiliko makubwa Katika bodi ya usajili vyuo vikuu hii imehusisha mabadiliko ya viongozi wa bodi pamoja na baadhi ya miongozo ya usimamizi.kwa wahitimu wa kidato cha sita,wanafunzi watakao pata daraja la kwanza na la pili yaan division one na division two ndio watakosajiriwa kwa elimu ya shahada yaan degree na kwa wale watakaomaliza diploma ni wale watakaopata hazini ya ufaulu Kuanzia 3.3 na kuendelea yaani GPA ya 3.3.kwa wahitimu wa kidato cha sita watakaopata daraja la tatu yaani division 3 watasoma stashahada adhiri yaani special diploma hii itachukua na wahitimu wa stashahada ambao hawakukidhi viwango.

Ieleweke wazi hakutakua na usajili wa wahitimu watakao pata daraja la nne na wale watakaopata GPA chini ya 3.3 kwa wahitimu wa stashahada pia hakutakua na mkopo wa wanafunzi wa stashahada adhiri kama ilivyokua awali,Bali patakuwa na punguzo la ada la asilimia 35 kutokana na ufinyu wa bajeti mwaka 2016/2017.

1f446
1f446
1f446
1f446
1f446
1f446
1f446

Kuna haja ya kupitia taarifa Mara kwa Mara ili kujua nini kinajiri maana unaweza kushangaa haupo kwenye mstari.

Ukipata nafasi itumie mapema maana ipo siku sheria. Taratibu na vigezo hubadilika ghafla na kuwaathiri wengi sana.

Waziri anaweza kufanya mabadiliko kulingana na alivyofaulu yeye.

Pia mabadiliko hayo yaliyo mengi huchochewa na chuo kikuu cha Dar es salaam ambacho serikali huchukulia kuwa ndo chuo pekee hapa nchini na vingine ni vya vilaza.

Ikumbukwe kwamba degree ya udsm na ya vyuo vingine zote ni degree na zina hadhi sawa.

Wakati mwingine vyuo vya kati vinatoa ELIMU na ujuzi wa maana kuliko chuo kikuu cha DSM na vyuo maarufu nchini.

Elimu yetu inayumbishwa na mabadiliko kila kukicha ambayo hayana tija bali kuendelea kuleta hofu nchini Tanzania.

Kuna watu wenye division 3 form 6 kwa sasa hawaruhusiwi kusoma degree.

Kuna wenye diploma na GPA ya 3.0 hawaruhusiwi kusoma degree.

HOFU YANGU
Inawezekana ikaingia hadi kwenye soko la ajira na kuwaathiri wahitimu ambao watajikuta hawaajiriki kwa kuwa na ufaulu mdogo.

Inawezekana hata waliopo kazini wakaathirika na mabadiliko makubwa yasiyo na tija.

Kwahiyo kuna haja ya kuwa na taarifa sahihi kila kukicha vinginevyo unaweza kupata tatizo kwa kutokujua nini kinaendelea nchini.

Tumwombe sana Mungu mabadiliko hayo yasituathiri bali yatujenge zaidi.

By Mrutu E.M



Ni kwanini elimu yetu ya Tanzania inakuwa kila kukicha inayumbishwa yumbishwa kila Kiongozi anayekuja analeta mfumo mpya?? Nahisi ingefikia mahali kuwe kuna mfumo na sheria inayombana kiongozi anayekuwa madarakani kubadili hovyo mfumo wa elimu pale ambapo anajisikia. Kuwe kuna mfumo ambao inampasa afuate taratibu na jopo la wanataaluma wakae kujadili mfumo huo wa elimu huyo kiongozi anaoutaka kwanza ndipo uwekwe rasmi.

Kila kiongozi anayekuja anacheza na vichwa vya wanafunzi...wanaomia ni hawa wanafunzi wanapoteza muelekeo.. Waziri aje na mfumo wake, Raisi aje na mfumo wake tunaelekea wapi...Lini elimu hii itatulia ??!!
 
Habari kwa wahitimu wote wa kidato cha sita na wahitimu wote wa stashahada mwaka 2016.

Ni dhahiri kumefanyika mabadiliko makubwa Katika bodi ya usajili vyuo vikuu hii imehusisha mabadiliko ya viongozi wa bodi pamoja na baadhi ya miongozo ya usimamizi.kwa wahitimu wa kidato cha sita,wanafunzi watakao pata daraja la kwanza na la pili yaan division one na division two ndio watakosajiriwa kwa elimu ya shahada yaan degree na kwa wale watakaomaliza diploma ni wale watakaopata hazini ya ufaulu Kuanzia 3.3 na kuendelea yaani GPA ya 3.3.kwa wahitimu wa kidato cha sita watakaopata daraja la tatu yaani division 3 watasoma stashahada adhiri yaani special diploma hii itachukua na wahitimu wa stashahada ambao hawakukidhi viwango.

Ieleweke wazi hakutakua na usajili wa wahitimu watakao pata daraja la nne na wale watakaopata GPA chini ya 3.3 kwa wahitimu wa stashahada pia hakutakua na mkopo wa wanafunzi wa stashahada adhiri kama ilivyokua awali,Bali patakuwa na punguzo la ada la asilimia 35 kutokana na ufinyu wa bajeti mwaka 2016/2017.

1f446
1f446
1f446
1f446
1f446
1f446
1f446

Kuna haja ya kupitia taarifa Mara kwa Mara ili kujua nini kinajiri maana unaweza kushangaa haupo kwenye mstari.

Ukipata nafasi itumie mapema maana ipo siku sheria. Taratibu na vigezo hubadilika ghafla na kuwaathiri wengi sana.

Waziri anaweza kufanya mabadiliko kulingana na alivyofaulu yeye.

Pia mabadiliko hayo yaliyo mengi huchochewa na chuo kikuu cha Dar es salaam ambacho serikali huchukulia kuwa ndo chuo pekee hapa nchini na vingine ni vya vilaza.

Ikumbukwe kwamba degree ya udsm na ya vyuo vingine zote ni degree na zina hadhi sawa.

Wakati mwingine vyuo vya kati vinatoa ELIMU na ujuzi wa maana kuliko chuo kikuu cha DSM na vyuo maarufu nchini.

Elimu yetu inayumbishwa na mabadiliko kila kukicha ambayo hayana tija bali kuendelea kuleta hofu nchini Tanzania.

Kuna watu wenye division 3 form 6 kwa sasa hawaruhusiwi kusoma degree.

Kuna wenye diploma na GPA ya 3.0 hawaruhusiwi kusoma degree.

HOFU YANGU
Inawezekana ikaingia hadi kwenye soko la ajira na kuwaathiri wahitimu ambao watajikuta hawaajiriki kwa kuwa na ufaulu mdogo.

Inawezekana hata waliopo kazini wakaathirika na mabadiliko makubwa yasiyo na tija.

Kwahiyo kuna haja ya kuwa na taarifa sahihi kila kukicha vinginevyo unaweza kupata tatizo kwa kutokujua nini kinaendelea nchini.

Tumwombe sana Mungu mabadiliko hayo yasituathiri bali yatujenge zaidi.

By Mrutu E.M
Ndalichako ameshasema wale wanaohoji mabadiliko kila siku kasema hiyo ndiyo elimu ni lazima ibadilike kwa maendeleo mambo mapya yakigundulika yataongezwa kwenye syllabus so changes are inevitable for any education system to progress
 
Chanzo cha habari???? Isije kuwa ni kijiwe cha kahawa
 
Ndalichako ameshasema wale wanaohoji mabadiliko kila siku kasema hiyo ndiyo elimu ni lazima ibadilike kwa maendeleo mambo mapya yakigundulika yataongezwa kwenye syllabus so changes are inevitable for any education system to progress
wafungue maombi heslb kwanza,mengine yatafata
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom