29Oct2025
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,976
- 8,267
Yes mimi sio msukule kama weweKujibuzana na mtu kama wewe ni kujishushia heshima
Na wala sina tabia ya kulia lia kwenye harusi za wanaume kama wewe na timu yako nzima ya utopolo
Kenge wewe
Yes mimi sio msukule kama weweKujibuzana na mtu kama wewe ni kujishushia heshima
Sawa JasiminAcha ujinga wewe, taarifa za Mzize alizitoa wakala wake.......
Imemsajili au anakuja kwa mkopoHivi karibuni mashabiki wa ile timu ya Manzoki na Mzee Rage walikua wanapigania haki ya Mzize aende nje akajitafutie maisha kwamba timu yake ina roho mbaya ajabu ni kwamba timu yao imemsajiri Salim Mwalimu kutoka Wydad aje huku alipo Mzize, hii ina maana Mwalimu hana future au mapenzi yao kwa Mzize ni mkubwa sana?
Kwanza hela ya tofali umesharudishiwa ile aliyochangiwa CCMHivi karibuni mashabiki wa ile timu ya Manzoki na Mzee Rage walikua wanapigania haki ya Mzize aende nje akajitafutie maisha kwamba timu yake ina roho mbaya ajabu ni kwamba timu yao imemsajiri Salim Mwalimu kutoka Wydad aje huku alipo Mzize, hii ina maana Mwalimu hana future au mapenzi yao kwa Mzize ni mkubwa sana?
Mbona hukumtetea Aishi Manula pale Simba walipogoma kumuuza, kumtoa Kwa mkopo ili akalinde kipaji chake.Kuna utofauti wa kimuktadha kati yya Mzize na Seleman Mwalimu.
Mzize ilikuwa ni sakata la ndoto binafsi dhidi ya vizingiti vya kiuongozi. Mzize alitamani kujiendeleza kimataifa, akilenga klabu yenye ushindani mkubwa kama Esperense de Tunis.
Mashabiki tulimtetea kwa misingi ya haki. Tuliona Club yake ya Yanga ikiuzuia uhamisho kwasababu zisizo za kiufundi, ikikataa ofa bora na kuhimiza aende Club dhaifu kwa maslahi ya udalali.
Selemani Mwalimu ni usajili usiokuwa na kipengele wala migogoro
Hakuna sakata la mgongano wa kimaslahi, Wydad haikugomea uhamisho wake na wala hakuna dalili ya udalali au mgongano wa kimaslahi.
Tofali lipo limemleta mtesi wenu Mohamed DoumbiaKwanza hela ya tofali umesharudishiwa ile aliyochangiwa CCM
Hakukuwa na ofa "iliyojipenyeza" kwa ManulaMbona hukumtetea Aishi Manula pale Simba walipogoma kumuuza, kumtoa Kwa mkopo ili akalinde kipaji chake.
Badala yake wakamfukuza kambini akawa yupo tu mtaani anauzwa nguo tu Sinza dukani kwake
Kuna roho mbaya kama hiyo?
Mzize yupo Yanga ana mkataba na Yanga wanahitaji dollar 1m na timu ikifika atauzwa
Msimu uliopita kibu alipata timu,akaomba muuze,vipi mlimuuza?Kuna utofauti wa kimuktadha kati yya Mzize na Seleman Mwalimu.
Mzize ilikuwa ni sakata la ndoto binafsi dhidi ya vizingiti vya kiuongozi. Mzize alitamani kujiendeleza kimataifa, akilenga klabu yenye ushindani mkubwa kama Esperense de Tunis.
Mashabiki tulimtetea kwa misingi ya haki. Tuliona Club yake ya Yanga ikiuzuia uhamisho kwasababu zisizo za kiufundi, ikikataa ofa bora na kuhimiza aende Club dhaifu kwa maslahi ya udalali.
Selemani Mwalimu ni usajili usiokuwa na kipengele wala migogoro
Hakuna sakata la mgongano wa kimaslahi, Wydad haikugomea uhamisho wake na wala hakuna dalili ya udalali au mgongano wa kimaslahi.
Hivi alikuwepo mechi ya juzi kama alikuwepo msemaji wenu hansrafael anasema tumpe muda.Tofali lipo limemleta mtesi wenu Mohamed Doumbia
Azam, USMA, APR, Kmc, walimhitaji mbumbumbu wakagoma, wakasema atulie mkataba uishe ndo ataondokaHakukuwa na ofa "iliyojipenyeza" kwa Manula
Muda ukifika utamwona akiwafunga hat trick Makolo ngao ya jamiiHivi alikuwepo mechi ya juzi kama alikuwepo msemaji wenu hansrafael anasema tumpe muda.
Na hyo ndio target yenu kumfunga simba basiMuda ukifika utamwona akiwafunga hat trick Makolo ngao ya jamii
Na kuchukua ubingwa ambao wewe umeukosa miaka 4Na hyo ndio target yenu kumfunga simba basi
Hazikuwa taarifa za kweliAzam, USMA, APR, Kmc, walimhitaji mbumbumbu wakagoma, wakasema atulie mkataba uishe ndo ataondoka
Manula alikuwa fit, viongozi hapo umbumbumbuni wakaamua kumkoa na kumfanya kipa chaguo la 5, Kwa class na profile ya Manula ilikuwa roho mbaya mno, lakini mbumbumbu hilo hawakulijali Sasa wao wanajifanya watetezi wa Mzize ambaye akiwafunga goli la maanaHazikuwa taarifa za kweli
Hakuna timu ingekuwa tayari ku take risk kusajili mchezaji ambaye msimu mzima kacheza mechi moja ya kirafiki tu.
Hata Azam walipokuja kumsajili walikiri kuwa ni hitaji la kocha. Kama tu Ibenge aliyejiunga juzi na Azam ndio aliyemuhitaji unaweza kuona jinsi gani kulikuwa na upotoshaji kwenye ishu yake.
Hizi unazoandika wewe ni hearsay na sijui umezipatia wapi I guess ni kwa Hans au Ambokile ambao wamekuwa wakiwalisha habari potoshi ila kwakua zina mlengo wa kuichafua Simba mnajikuta mnaziamini.Manula alikuwa fit, viongozi hapo umbumbumbuni wakaamua kumkoa na kumfanya kipa chaguo la 5, Kwa class na profile ya Manula ilikuwa roho mbaya mno, lakini mbumbumbu hilo hawakulijali Sasa wao wanajifanya watetezi wa Mzize ambaye akiwafunga goli la maana
Clubs zilikuja na wakala wake Jemedari alithibitisha Kwa Simba wanagoma, Nia wamkoe Manula hadi mkataba uishe
Manula alitumikia mkataba akiwa hachezi na yupo fit
Jemedari alisema Simba wameamua kumkomoa mchezajiHizi unazoandika wewe ni hearsay na sijui umezipatia wapi I guess ni kwa Hans au Ambokile ambao wamekuwa wakiwalisha habari potoshi ila kwakua zina mlengo wa kuichafua Simba mnajikuta mnaziamini.
Jemedar alithibitisha scenario ya Manula kuachwa katika safari ya mechi ya kimataifa kwa kile kilichokuwa kinasemwa kuwa anaumwa.
Alisema hivyo kwasababu Manula alikuwa hapati nafasi ya kucheza.Jemedari alisema Simba wameamua kumkomoa mchezaji
Una hisa kwenye hela zangu?Kwanza hela ya tofali umesharudishiwa ile aliyochangiwa CCM