ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,682
- Thread starter
- #21
Endelea kujisugua kwenye bombaTuambie hapa kwenye hii misukule wewe ni yupi? Ukiachana na kale katabia kenu ka kuliliana kwenye harusiView attachment 3444000
Endelea kujisugua kwenye bombaTuambie hapa kwenye hii misukule wewe ni yupi? Ukiachana na kale katabia kenu ka kuliliana kwenye harusiView attachment 3444000
So Ahmed Ali ndio msememaji wa Mzize?Ally Kamwe ambaye ni msemaji wa klabu, ina maana anapotoa taarifa kuhusu taasisi au mchezaji, mchezaji au aliyewakilishwa anakuwa bubu?
Katika dunia ya michezo ya kisasa, kuna level ya kimawasiliano ambayo mchezaji hawezi kuisimamia moja kwa moja, hasa pale linapokuja suala la mikataba, uhamisho, au masuala ya kisheria. Hii ndiyo sababu wachezaji wengi hutumia mawakala, wasemaji wa klabu, au wanasheria kama wawakilishi wao.
Umekielewa ulichokicharaza au ndiyo Bado hawajakugawia akili hata kidogo?Hivi karibuni mashabiki wa ile timu ya Manzoki na Mzee Rage walikua wanapigania haki ya Mzize aende nje akajitafutie maisha kwamba timu yake ina roho mbaya ajabu ni kwamba timu yao imemsajiri Salim Mwalimu kutoka Wydad aje huku alipo Mzize, hii ina maana Mwalimu hana future au mapenzi yao kwa Mzize ni mkubwa sana?
Sihitaji kua na akili kuongea na mbumbumbuUmekielewa ulichokicharaza au ndiyo Bado hawajakugawia akili hata kidogo?
Sio impact, ni suala la maslahi. Mtu analipwa milioni 2 Yanga, halafu inatokea timu inayotaka kumlipa 75M, unambania! Si uchawi huo? Hapo unahitaji hadi mtu akuseme umuite mnafiki, dhamira haikusuti?Edwin Balua ana impact gani kwenye kikosi cha 5imba? kiasi kwamba uondokaji wake uwe na ugumu
Chura anadhani anazo akili kumbe kibaka tu.Sihitaji kua na akili kuongea na mbumbumbu
Ahmed Ally alizungumza kama mdau wa soka aliyeona klabu inamwekea mchezaji vizingiti visivyo vya kiufundi, licha ya mchezaji mwenyewe kuridhia ofa nono kutoka Esperense.So Ahmed Ali ndio msememaji wa Mzize?
nisamehe ndugu Eng. Hersi SaidAcha ujinga
Simba imemsajili Selemani Mwalimu sio SalimuHivi karibuni mashabiki wa ile timu ya Manzoki na Mzee Rage walikua wanapigania haki ya Mzize aende nje akajitafutie maisha kwamba timu yake ina roho mbaya ajabu ni kwamba timu yao imemsajiri Salim Mwalimu kutoka Wydad aje huku alipo Mzize, hii ina maana Mwalimu hana future au mapenzi yao kwa Mzize ni mkubwa sana?
Kama mnavyoliliana kwenye harusi?Endelea kujisugua kwenye bomba
Unafiki siyo poa hata kidogo. Bora umewapiga nyundo kwenye visogo vyao.Hivi karibuni mashabiki wa ile timu ya Manzoki na Mzee Rage walikua wanapigania haki ya Mzize aende nje akajitafutie maisha kwamba timu yake ina roho mbaya ajabu ni kwamba timu yao imemsajiri Salim Mwalimu kutoka Wydad aje huku alipo Mzize, hii ina maana Mwalimu hana future au mapenzi yao kwa Mzize ni mkubwa sana?
Unafiki siyo poa hata kidogo. Bora umewapiga nyundo kwenye visogo vyao.
Hilo linawezekana kabisa.Naskia Eng. Hersi anapatikana JF kama Lucas Mwashambwa
Kujibuzana na mtu kama wewe ni kujishushia heshimaKama mnavyoliliana kwenye harusi?
Tabia za kikabwili hapo utopoloni zimejaa sana sitoshangaa mumeo ali komwe nae ana mume kama wewe ulivyo mke wake
Haya ndio mafanikio ya timu kubwaSimba imemsajili Selemani Mwalimu sio Salimu
Pia ndoto ya mchezaji yoyote yule ni kucheza Vilabu vikubwa au vyenye malisho bora iwe África au nje ya Africa
Mzize anatakiwa aachane na Vilabu vidogo vidogo atafute malisho mapya kwenye timu kubwa zilizo hata top10 ya Vilabu bora África
Selemani Mwalimu amekwenda Simba kwakuwa hii timu ipo top 5 ktk Vilabu bora vya África,
Akifanya vizuri hapa itamuwia rahisi kuuzika ktk Vilabu vikubwa zaidi ya Simba
Hapo umbumbumbuni hamchezi football si muuze nyie au mna magarasaAhmed Ally alizungumza kama mdau wa soka aliyeona klabu inamwekea mchezaji vizingiti visivyo vya kiufundi, licha ya mchezaji mwenyewe kuridhia ofa nono kutoka Esperense.
“Wakati huo tukiwa tunashiriki katika jitihada ya kuzipata bilioni kumi, klabu ya Yanga nayo ikajipenyeza hapo hapo, na yenyewe itatoa kiasi cha shilingi milioni mia moja.” — Eng. Hersi SaidHapo umbumbumbuni hamchezi football si muuze nyie au mna magarasa
Huo mchango ndio ulisababishwa mfungwe mara tano mfurulizo?“Wakati huo tukiwa tunashiriki katika jitihada ya kuzipata bilioni kumi, klabu ya Yanga nayo ikajipenyeza hapo hapo, na yenyewe itatoa kiasi cha shilingi milioni mia moja.” — Eng. Hersi Said
View attachment 3444190
Sasa ndugu yangu, kama klabu yako inajipenyeza kwenye harakati za CCM kama halafu unakuja kutuita sisi “magarasa,” si bora ujitathmini kwanza?
Hivi kweli mtu anayechangia CCM kupitia klabu ya mpira, halafu anasema “tulijipenyeza,” si huyo ndiye garasa la kitaasisi?
Unachangia CCM kupitia klabu ya mpira, halafu unashangaa timu kufungwa?Huo mchango ndio ulisababishwa mfungwe mara tano mfurulizo?
Acha ujinga wewe, taarifa za Mzize alizitoa wakala wake.......Hivi karibuni mashabiki wa ile timu ya Manzoki na Mzee Rage walikua wanapigania haki ya Mzize aende nje akajitafutie maisha kwamba timu yake ina roho mbaya ajabu ni kwamba timu yao imemsajiri Salim Mwalimu kutoka Wydad aje huku alipo Mzize, hii ina maana Mwalimu hana future au mapenzi yao kwa Mzize ni mkubwa sana?